Nani alisema mwanasiasa mfu au Marehemu asisemwe kwa matendo yake mema au mabaya hapa duniani?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Acha mvua ya maneno inyeshe na hata radi acha inyeshe zaidi ili ikawe fundisho kwa wengine Katika kuandika hadithi zao hapa duniani

Hoja hazipigwi Lungu bali hujibiwa kwa hoja"Hii ni nukuu ya Mrisho Jakaya kikwete aliyoitohoa toka kwa mwalimu Nyerere"

Nukuu ya Mzee mstaafu Rais Mwinyi"Maisha ya mwanadamu ni kitabu cha hadithi, ewe mwanadamu ukiondoka uache kitabu chenye hadithi nzuri"

Ni fikra mfu tu na mawazo mgando ndio unaweza kuacha kuwasemea wanasiasa Marehamu kwa mema au mazuri yao

Walikuwepo mitume na manabii, Kila siku habari zao zinasomwa misikitini na makanisani, Hawa manabii na mitume walishafariki karne nyingi zilizopita lakini habari zao zinasomwa kila jumapili na ijumaa kwenye makanisa, masinagogi na misikiti

Wewe mwanadamu ni nani tuache Kuongelea habari zako mbaya na nzuri ukiwa tayari ni mfu

Tunasoma habari za Petro, Yuda na Yohana kipindi cha Pasaka tabia na matendo yao na hakuna anayetukataza kwa kusema kitabu Chao kimefungwa hapa duniani

Tunasoma habari za Mtume Mohammad na hadithi zake tena watu Wengine wanazikejeli lakini hakuna aliyewazuia watu wasijadili hoja

Tunasoma habari za akina Pilato na Herode kwa utawala wao hakuna anayesema habari na vitabu vyao vimefungwa tuache wapumzike

Habari za Marehamu Nyerere, Mkapa, Magufuli huwezi kuzuia watu waseme, Hawa ni wanadamu watasemwa kwa wema na mabaya yao

Kwanini Magufuli anajadiliwa zaidi kwa mabaya na sio wema hii ni kutokana na aina ya utawala na mfumo alioutumia kwenye mfumo wa utoaji habari na maoni ya watu wake, Kila mtu aliguswa na utawala wa JPM kwa wakati wake,

Television zote na Radio ziliimba kishindo awamu ya tano tu, Walioimba kishindo ni mnyato walifungiwa


Acha mvua ya mjadala iwake na itawaka zaidi kwa lengo la kuueleza ukweli familia yake na Taifa kwa ujumla
 
Acha mvua ya maneno inyeshe na hata radi acha inyeshe zaidi ili ikawe fundisho kwa wengine Katika kuandika hadithi zao hapa duniani

Hoja hazipigwi Lungu bali hujibiwa kwa hoja"Hii ni nukuu ya Mrisho Jakaya kikwete aliyoitohoa toka kwa mwalimu Nyerere"

Nukuu ya Mzee mstaafu Rais Mwinyi"Maisha ya mwanadamu ni kitabu cha hadithi, ewe mwanadamu ukiondoka uache kitabu chenye hadithi nzuri"

Ni fikra mfu tu na mawazo mgando ndio unaweza kuacha kuwasemea wanasiasa Marehamu kwa mema au mazuri yao

Walikuwepo mitume na manabii, Kila siku habari zao zinasomwa misikitini na makanisani, Hawa manabii na mitume walishafariki karne nyingi zilizopita lakini habari zao zinasomwa kila jumapili na ijumaa kwenye makanisa, masinagogi na misikiti

Wewe mwanadamu ni nani tuache Kuongelea habari zako mbaya na nzuri ukiwa tayari ni mfu

Tunasoma habari za Petro, Yuda na Yohana kipindi cha Pasaka tabia na matendo yao na hakuna anayetukataza kwa kusema kitabu Chao kimefungwa hapa duniani

Tunasoma habari za Mtume Mohammad na hadithi zake tena watu Wengine wanazikejeli lakini hakuna aliyewazuia watu wasijadili hoja

Tunasoma habari za akina Pilato na Herode kwa utawala wao hakuna anayesema habari na vitabu vyao vimefungwa tuache wapumzike

Habari za Marehamu Nyerere, Mkapa, Magufuli huwezi kuzuia watu waseme, Hawa ni wanadamu watasemwa kwa wema na mabaya yao

Kwanini Magufuli anajadiliwa zaidi kwa mabaya na sio wema hii ni kutokana na aina ya utawala na mfumo alioutumia kwenye mfumo wa utoaji habari na maoni ya watu wake, Kila mtu aliguswa na utawala wa JPM kwa wakati wake,

Television zote na Radio ziliimba kishindo awamu ya tano tu, Walioimba kishindo ni mnyato walifungiwa


Acha mvua ya mjadala iwake na itawaka zaidi kwa lengo la kuueleza ukweli familia yake na Taifa kwa ujum

Je marehemu Baba yako hakuwa na mapungufu? JE hakuwa na maadui? Hakuwa na watu waliomchukia? Basi shughurika kumwombea msamaha baba yako kwa watu aliowakosea!
 
Acha mvua ya maneno inyeshe na hata radi acha inyeshe zaidi ili ikawe fundisho kwa wengine Katika kuandika hadithi zao hapa duniani

Hoja hazipigwi Lungu bali hujibiwa kwa hoja"Hii ni nukuu ya Mrisho Jakaya kikwete aliyoitohoa toka kwa mwalimu Nyerere"

Nukuu ya Mzee mstaafu Rais Mwinyi"Maisha ya mwanadamu ni kitabu cha hadithi, ewe mwanadamu ukiondoka uache kitabu chenye hadithi nzuri"

Ni fikra mfu tu na mawazo mgando ndio unaweza kuacha kuwasemea wanasiasa Marehamu kwa mema au mazuri yao

Walikuwepo mitume na manabii, Kila siku habari zao zinasomwa misikitini na makanisani, Hawa manabii na mitume walishafariki karne nyingi zilizopita lakini habari zao zinasomwa kila jumapili na ijumaa kwenye makanisa, masinagogi na misikiti

Wewe mwanadamu ni nani tuache Kuongelea habari zako mbaya na nzuri ukiwa tayari ni mfu

Tunasoma habari za Petro, Yuda na Yohana kipindi cha Pasaka tabia na matendo yao na hakuna anayetukataza kwa kusema kitabu Chao kimefungwa hapa duniani

Tunasoma habari za Mtume Mohammad na hadithi zake tena watu Wengine wanazikejeli lakini hakuna aliyewazuia watu wasijadili hoja

Tunasoma habari za akina Pilato na Herode kwa utawala wao hakuna anayesema habari na vitabu vyao vimefungwa tuache wapumzike

Habari za Marehamu Nyerere, Mkapa, Magufuli huwezi kuzuia watu waseme, Hawa ni wanadamu watasemwa kwa wema na mabaya yao

Kwanini Magufuli anajadiliwa zaidi kwa mabaya na sio wema hii ni kutokana na aina ya utawala na mfumo alioutumia kwenye mfumo wa utoaji habari na maoni ya watu wake, Kila mtu aliguswa na utawala wa JPM kwa wakati wake,

Television zote na Radio ziliimba kishindo awamu ya tano tu, Walioimba kishindo ni mnyato walifungiwa


Acha mvua ya mjadala iwake na itawaka zaidi kwa lengo la kuueleza ukweli familia yake na Taifa kwa ujumla
Umefanya vizuri kwa mifano mujarabu. Watuache tujadili hadithi / mafunzo kutoka kwa Magufuli kama tunavyo nukuu kauli mbalimbali kutoka kwa viongozi wengi wa kijamii waliotangulia.

Naamini wale jamaa wazee wa "rigasi" kibajaji na wengineo watakuwa wameshibishwa na ufafanuzi huu.
 
KILA mtu uamua asemwe vipi KILA mtu uandika kitabu chake mwenyewe
 
Ishu sio msamaha

Kama mzazi hakutupeleka shule lazima tumseme ukweli

Mbona wakenya wanasimulia Baba yake Marehemu Rais Mwai kibaki alimpeleka shule mwanae alipoona mwanae hawezi kulima, Aliona mwanae ni hasara bora aende shule

Hasara ya mwanae ndio ikawa imara ya uchumi wa Kenya
 
Acha mvua ya maneno inyeshe na hata radi acha inyeshe zaidi ili ikawe fundisho kwa wengine Katika kuandika hadithi zao hapa duniani

Hoja hazipigwi Lungu bali hujibiwa kwa hoja"Hii ni nukuu ya Mrisho Jakaya kikwete aliyoitohoa toka kwa mwalimu Nyerere"

Nukuu ya Mzee mstaafu Rais Mwinyi"Maisha ya mwanadamu ni kitabu cha hadithi, ewe mwanadamu ukiondoka uache kitabu chenye hadithi nzuri"

Ni fikra mfu tu na mawazo mgando ndio unaweza kuacha kuwasemea wanasiasa Marehamu kwa mema au mazuri yao

Walikuwepo mitume na manabii, Kila siku habari zao zinasomwa misikitini na makanisani, Hawa manabii na mitume walishafariki karne nyingi zilizopita lakini habari zao zinasomwa kila jumapili na ijumaa kwenye makanisa, masinagogi na misikiti

Wewe mwanadamu ni nani tuache Kuongelea habari zako mbaya na nzuri ukiwa tayari ni mfu

Tunasoma habari za Petro, Yuda na Yohana kipindi cha Pasaka tabia na matendo yao na hakuna anayetukataza kwa kusema kitabu Chao kimefungwa hapa duniani

Tunasoma habari za Mtume Mohammad na hadithi zake tena watu Wengine wanazikejeli lakini hakuna aliyewazuia watu wasijadili hoja

Tunasoma habari za akina Pilato na Herode kwa utawala wao hakuna anayesema habari na vitabu vyao vimefungwa tuache wapumzike

Habari za Marehamu Nyerere, Mkapa, Magufuli huwezi kuzuia watu waseme, Hawa ni wanadamu watasemwa kwa wema na mabaya yao

Kwanini Magufuli anajadiliwa zaidi kwa mabaya na sio wema hii ni kutokana na aina ya utawala na mfumo alioutumia kwenye mfumo wa utoaji habari na maoni ya watu wake, Kila mtu aliguswa na utawala wa JPM kwa wakati wake,

Television zote na Radio ziliimba kishindo awamu ya tano tu, Walioimba kishindo ni mnyato walifungiwa


Acha mvua ya mjadala iwake na itawaka zaidi kwa lengo la kuueleza ukweli familia yake na Taifa kwa ujumla
Wamejaa ujinga tu! Hawana jipya
 
Lidictator uchwara lazima lisemwe haiwez kukwepeka hii

Tena wadudu walifyonze zaidi nyama
 
Kuna watu walijisahau sana na kutaka kuanza kumuabudu binadamu

Eti msimseme binadamu yetu alikuwa mtu wa karibu nasi, Yeye nani asisemwe, Je yu mkuu zaidi ya manabii

la hasha
Hawa wanataka asiaemwe kwa mabaya lakini kutwa wao wanaamamsema alivyokuwa kiongozi mzuri na kuwasema vibaya wanaorekebisha mapungufu yake
 
Hatujasahau wapendwa wetu Ben saanane, Azory etc ila yeye asahaulike kirahisi kirahisi!!! asisemwe!! majeraha yanapona ila makovu hayaishi....mioyo imejaa makovu ndio maana watu wanaongea wanayoyaongea.
 
Mtu anayekubali maendeleo yake kwa gharama ya damu ya mwenzake hafai duniani wala mbinguni
Yah!
Hata hivyo hakuna damu iliyomwagwa kama gharama ya maendeleo. Damu ilimwagwa tu kutokana na na roho ya kishetani ya yule na genge lake.
Ben Saanane alikuwa anazuia maendeleo gani? Alihoji uhalali wa PhD.
Alphonse Mawazo alizuia maendeleo?
Tundu Lissu alizuia maendeleo? Ni mkosoaji tu wa kisiasa.
Magufuli alizuia watu wasimkosoe alipokuwa hai. Aligeuza vyombo vya habari vya kumsifia tu yeye.
Alinyima watu uhuru wao. Alionea. Alinyanyasa. Alibagua. Alidharau.
Mungu ni mwema, sasa hawezi kufanya hao tena. Acha watu warejee matendo yake, ili iwe funzo kwa wengine waliopo na watakaopata madaraka baadae.
 
Kuna msemo unasema"Kamaa tadiinu tudanu "matendo utakayofanya ndyo utakayolipwa hakuna namna lazma ukwel mchungu usemwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom