OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Wakuu wengine sisi tumeanza kufuatilia siasa kipindi cha Zito Kabwe na Dr.Slaa hivyo kupitia great thinkers tunajifunza mengi.Nakumbuka Wilaya na Halmashauri ya Chato ilikuwa Kagera lakini hapa katika kuanzisha mikoa mipya ikahamishiwa Geita.
Nimejifunza mahali pengine kuwa Wilaya kuhamia mkoa mwingine sio jambo dogo,kunakuwa na mikakati mizito ya kisiasa na sababu nzito sana.Naomba wakuu watupe darasa ni nani aliratibu uhamisho wa Chato kwenda Geita na sababu zilikuwa ni zipi.
Hii mada haihusiani na mambo ya wahanga wa tetemeko kupewa majibu yale na Mh.Rais!
Nimejifunza mahali pengine kuwa Wilaya kuhamia mkoa mwingine sio jambo dogo,kunakuwa na mikakati mizito ya kisiasa na sababu nzito sana.Naomba wakuu watupe darasa ni nani aliratibu uhamisho wa Chato kwenda Geita na sababu zilikuwa ni zipi.
Hii mada haihusiani na mambo ya wahanga wa tetemeko kupewa majibu yale na Mh.Rais!