Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,188
Mmoja amekuja anajisifu kuwa ni "war President" ambaye ameapa ku root out terrorism, mwingine aliongoza nchi kwa iron fist lakini alihukumiwa kinyongo baada ya kukutwa na hatia ya kuua watu 165. Nani kati ya hawa wawili alipambana vizuri na magaidi?