Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
- Thread starter
- #101
Mbona mama lwakatare ujawahi kuoji?Then what?kwani wewe matendo yako yanafanana na dini yako?
Sasa nimeelewa kwanini nchi hii masikini, watu hawajibu maswali wanatoka nje ya mada, kumbuka aliyemkanya msigwa sio mimi ni naibu spika