Asante kwa kukiri kwamba wabunge wenu (Chadema) ni wanaharakati.
Aliyempa uchungaji Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa ni pamoja na Mama na Babako! Nenda kawaulize watakujuza.
Ukiona majibu kama haya toka kwa wanaCDM ujue Message sent and delivered. Nidhamu mbovu ya mbunge wenu inasikitisha sana.
Mods wa uamsho walinipiga ban mkuuMkuu, mbona ulikuwa umepotea sana humu jukwaani?!! Aisee nimefurahi sana kukuona jukwaani.
Asante MOD, huyu kijana hana adabu nawaomba mumpe BAN ya miezi 6
Asiye na adabu nani?
Msigwambunge wangu, ila ananiboa sana. too low huyu jamaa kaniudhi sana leo
Na ni nani aliyewapa ushehk wale mashehk wa uamsho waliochoma makanisa kule zenji?
Aliyempa uchungaji Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa ni pamoja na Mama na Babako! Nenda kawaulize watakujuza.
Too late, usimpigie kura mwaka 2015
wazee wa UAMSHO
Wadau,
Leo bungeni Naibu spika, ametoa malalamiko yake kwa wananchi wa iringa hususani wa jimbo la iringa mjini juu ya NIDHAMU mbovu anayoionyesha mbunge wao msingwa.
Swali langu ni je, ni nani kampa msigwa UCHUNGAJI, mbona matendo yake hayafanani na hiyo title yake?
Kama sikosei tafsiri ya neno Sheikh ni kiongozi, hata biblia (ambazo hazikuchakachuliwa) ziliwataja mashekh kama viongozi wa Wakristo, isipokuwa neno hili limeshamiri zaidi kwa Waislam, miaka kama kumi na kitu iliyopita nilikuwa na jirani yangu ambaye ni mchungaji nilikuwa nikimwita Sheikh na hakunipinga infact ndio aliyenielewesha maana ya neno hili.
Mods wa uamsho walinipiga ban mkuu