MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Mkuu Ritz, nimerespond kutokana na bandiko lako. Hata hivyo ni kweli kwamba tunatakiwa kuziheshimu imani za watu.Mkuu heshimu dini za wenzako sio vizuri wakati mwingine nakuona muungwana lakini haya maandiko yako yanasikitisha sana hata ndugu zetu wa Kenya ambao tumeungana pamoja na wageni wanaopita JF nao wakiona post kama hii wataipa jina baya JF...Badilika ndugu.