Hahahahahaahhahhahahahahhahahhahhahhahhahhaha watu watata humu dahNinavyojua alipewa U-sir na Malkia wa Uingereza baada ya kukariri English dictionary word to word from A-Z
Mkuu hii tittle ya Sir alipewa na Malkia wa uingereza kwa kuwa mwafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni mwaka 1958 akiwa kama mbunge wa Legico jimbo la Karagwe jimbo la ziwa magharibi na mwaka 1959 aliteuliwa kuwa waziri wa starehe na maendeleo kwenye serikali ya muda kabla ya uhuru wa Tanganyika! Alisoma shule ya Tabora then chuo cha Loughborough Uingereza! He is the only and only real Sir by little in Tanzania if not Africa just like Sir Alex and Bobby Robson and all real ones u know! Sio A.k.a ni real tittle ni mmoja wa unvalued treasures
Have always thought it was somethig of a nickname to him
Mkuu hii tittle ya Sir alipewa na Malkia wa uingereza kwa kuwa mwafrika wa kwanza kuingia kwenye bunge la mkoloni mwaka 1958 akiwa kama mbunge wa Legico jimbo la Karagwe jimbo la ziwa magharibi na mwaka 1959 aliteuliwa kuwa waziri wa starehe na maendeleo kwenye serikali ya muda kabla ya uhuru wa Tanganyika! Alisoma shule ya Tabora then chuo cha Loughborough Uingereza! He is the only and only real Sir by little in Tanzania if not Africa just like Sir Alex and Bobby Robson and all real ones u know! Sio A.k.a ni real tittle ni mmoja wa unvalued treasures
Mkatoliki aliyeendelea!Ana wake 2.(J.K.Nyerere) anamiliki kampuni iliyoleta mkongo wa taifa seacom pamoja na Karamagi,Rostam.
Mtanzania wa kwaza kupewa cheo cha Sir
Mtanzania wa kwaza kupewa cheo cha Sir
Mtanzania wa kwaza kupewa cheo cha Sir
.Jamani mwenye historia ya huyu mzee naomba atujuze na sisi tuweze kumfahamu vizuri maana nasikia anazichanga karata kumsaidia mtu mmoja mtaka urais 2015
.
.
.
ndege ikaruka mara ya kwanza --- george akaguna...
ndege ikaruka mara ya pili -- george akaguna tena kwa sauti --mmmmnh (ule mguno wa kihaya)
iliporuka mara ya tatu -- nikamsikia george akipiga kelele -- maweeeee!!!!!
(RIP nyerere)
Sor naomba taarifa zake kama unazo inamaana alikuwa muhaya?
Clement George Kahama, al-maarufu Sir. George, ni mtumishi wa umma aliyekuwa mtendaji mkuu na mwanasiasa aliye mahiri na makini, katika utendaji kazi kuanzia nyakati za Tanganyika kudai uhuru mnamo miaka ya 1950, hadi kujitawala mwaka 1961, na baada ya uhuru mpaka alipostaafu utumishi wake kwa umma si miaka mingi iliyopita.Jamani mwenye historia ya huyu mzee naomba atujuze na sisi tuweze kumfahamu vizuri maana nasikia anazichanga karata kumsaidia mtu mmoja mtaka urais 2015
Sor naomba taarifa zake kama unazo inamaana alikuwa muhaya?