econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,756
- 21,748
Na mzee wa karate, imamu wa msikiti wa mwembechai sheikh Omary Bashir RIP
dah aiseeh! Sheikh alikuwa balaa. Alikuwa anakuambia ukija kusoma kitabu kwake Ni Bora umwibie mke wake na sio kitabu chake.