Nani alikuwa na real sauti nzito ya simba/zege, orginal na si ya act kati ya hawa wana-Hip Hop wakongwe Bongo?

Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili

1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer

Tuseme ukweli
Simba si DAIMOND jamani au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili

1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer

Tuseme ukweli
Kuna mwamba alikuwa anaitwa Ommy G wa kundi la FDC free dogs camp. Msikilize kwenye ngoma ya KINDUMBWE NDUMBWE
 
Kuna mwamba alikuwa anaitwa Ommy G wa kundi la FDC free dogs camp. Msikilize kwenye ngoma ya KINDUMBWE NDUMBWE
Haha..hii kindumbwe ndumbwe sikua najua ya nani nimeskiliza imenikumbusha mbali. Ile sauti ya moshi mapafuni !!!

20200413_095828.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom