screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Simba si DAIMOND jamani au?Bongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli
Kuna mwamba alikuwa anaitwa Ommy G wa kundi la FDC free dogs camp. Msikilize kwenye ngoma ya KINDUMBWE NDUMBWEBongo land hii pametokea watu ambao walikuwa wasanii ambao pia walikuwa na sauti nzito kweli kweli kwenye kurap, wengine walikuwa wanajifanyisha, wengine ni za kwao za asili, je kati ya hawa nani alikuwa na sauti asili
1. Mchizi Mox
2.Kala pina
3.Chid benzino
4.Geez mabovu
5.Jay moe
6. Squizer
Tuseme ukweli
Haha..hii kindumbwe ndumbwe sikua najua ya nani nimeskiliza imenikumbusha mbali. Ile sauti ya moshi mapafuni !!!Kuna mwamba alikuwa anaitwa Ommy G wa kundi la FDC free dogs camp. Msikilize kwenye ngoma ya KINDUMBWE NDUMBWE
Kuna mwamba alikuwa anaitwa Ommy G wa kundi la FDC free dogs camp. Msikilize kwenye ngoma ya KINDUMBWE NDUMBWE