Nani alikuwa Mtanzania wa kwanza kupata PhD?

Umeulizwa Msomi Mkubwa au Wa Kwanza? Ukubwa wa nini ? Au Pua!

Hata Kusoma Magazeti ni Usomi pia... Cha Muhimu hiyo elimu aliyonayo imesaidia nini au imegundua nini kilichosaidia Nchi au Ulimwengu kwa Ujumla! Usomi kwa ajili ya faida ya Familia yake huo nao unauita ni Usomi? Mbona Kaishia kuitwa Dr. ???

Mkuu, hojayako imenikumbusha kitu.
Najaribu kutafakari na kuwatazama wasomi walio wekeza nguvuzao kwa kusaidia taifa wameishia kubaki masikini na wenye maisha mgumu. Ilhali wale wasomi walowekeza kwenye familia zao, wanamaisha safi na wanaishi maisha mazuri kabisa.
 
Prof.Mkude wa UDSM....kashastaafu sijui!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Mkuu, hojayako imenikumbusha kitu.
Najaribu kutafakari na kuwatazama wasomi walio wekeza nguvuzao kwa kusaidia taifa wameishia kubaki masikini na wenye maisha mgumu. Ilhali wale wasomi walowekeza kwenye familia zao, wanamaisha safi na wanaishi maisha mazuri kabisa.
Hao waliowekeza kwenye familia zao hawana la kuonyesha zaidi watakuwa ni wezi tu... hii nchi ina wezi hatari...

Ok Ila Waweza mtaja Msomi yeyote aliyewekeza nguvu zake kwa Taifa na amebakia Masikini? maana katika nchi hii wasomi ndio wameiangusha hii nchi... asikuambie Mtu msomi akiwa kiongozi anakuwa Mbishi sana na hashauriki na mtu asiyesoma... nawachukia sana... kwani ndio mashetwani wetu wa kuzolotesha maendeleo hapa Nchini... Tizama wasiosoma sana kama kina Sokoine na umlinganishe na Kapuya kila wizara ni Majanga na ni wengi sana.. akheri ya Sarungi kidogo ila naye ni Majanga tu Muhimbili walimchoka...
 
Naona Kikwete amevunja rekodi kuwa na Phd nyingi sasa ni rais wa kwanza JMT kuwa profesa usisahau ni rais wa kwanza kuwa na PhD nyingi Tanzania haijawahi tokea record hii.

Ni ulimbukeni tu,PhD za heshima unaanza kujiita Dr. Na Nyerere aliekuwa na zaidi ya 20 angejiitaje?
 
Huyu Jamaa nilimfikiria ila nikaona yeye ni Mzenji and then sikudhani miaka ile ya Mwanzoni mwa Uhuru kulikuwa hakuna watu wenye phd maana Kulikuwa na watu wanakimbiza huko Makelele wazee wetu walikuwa wanatuambia mtu anaenda shule hadi chuo peku peku

Na yule aliyemkorofisha Nyerere hadi akamtupa jela ya nyumbani no kusafiri nadhani ni Ntumtekeke Sanga alikuwa msomi kumzidi Nyerere na Nyerere alimuuliza nikupe kazi kani akasema kwa kuwa nimekuzidi elimu nipe hicho cheo chako cha uraisi... Sasa sijui alikuwa na Master au PHD???

Huyo hakuwahi kuwa na PhD zaidi ya kuokoteleza vi_BAs, sidhani hata kama alikuwa na MA/MSc.
 
Hao waliowekeza kwenye familia zao hawana la kuonyesha zaidi watakuwa ni wezi tu... hii nchi ina wezi hatari...

Ok Ila Waweza mtaja Msomi yeyote aliyewekeza nguvu zake kwa Taifa na amebakia Masikini? maana katika nchi hii wasomi ndio wameiangusha hii nchi... asikuambie Mtu msomi akiwa kiongozi anakuwa Mbishi sana na hashauriki na mtu asiyesoma... nawachukia sana... kwani ndio mashetwani wetu wa kuzolotesha maendeleo hapa Nchini... Tizama wasiosoma sana kama kina Sokoine na umlinganishe na Kapuya kila wizara ni Majanga na ni wengi sana.. akheri ya Sarungi kidogo ila naye ni Majanga tu Muhimbili walimchoka...

Nchi yangu naipenda sana mkuu, ila nikiwaza nakutafakari mengi naishia kupata maumivu ya moyo tu, wnapotokea wachache na wenye nianzuri na nchi yangu ndio hao wanao ishia mabwe pande na kuuwawa pasipo kueleweka nini vyanzo vya vifo vyao
 
Wakuu habari napenda kuuliza Mtanzania wa kwanza kupata PHD na katika chuo gani?
- Si vibaya kama wakitajwa hata 10 katika mpangilio.
Note:
lengo langu ni kufahamu wazalendo hao; nikiamini kwamba kipindi hiko mazingira yalikuwa magumu sana.

Dr J.M.Liwenga (RIP) kaihenyea na kuipata 1964 toka University of London
 
Dr J.M.Liwenga (RIP) kaihenyea na kuipata 1964 toka University of London

1964 hapana maana kuna jamaa yangu ameniambia Cardinal Rugambwa alikuwa ameshaipata mnamo mwaka 1961.
 
Umeulizwa Msomi Mkubwa au Wa Kwanza? Ukubwa wa nini ? Au Pua!

Hata Kusoma Magazeti ni Usomi pia... Cha Muhimu hiyo elimu aliyonayo imesaidia nini au imegundua nini kilichosaidia Nchi au Ulimwengu kwa Ujumla! Usomi kwa ajili ya faida ya Familia yake huo nao unauita ni Usomi? Mbona Kaishia kuitwa Dr. ???

Bro fuatilia kabla hujaongea,nadhan Tanzania hajatokea mtu kama Prof Rweyemamu though he was shortlived,he died at the age of i thnk 42 but mambo yake ni makubwa,na alijitolea mno kwa nchi kama si ubishi na ujuaji wa Mwalimu mawazo yake yangeipeleka nchi mbali
 
Aliongoza mtihani wa mwisho duniani uliokuwa unatungwa na mwingereza na kufanywa na makolon yake yote duniani

Alisoma ihungo sec
Jina kamili n Justine Rweyemamu
Alikua msomi wa uchumi na alishindwa kuelewana na mwalimu hivyo alienda ughaibuni

Ila sina uhakika kama yy ndo prof wa kwanza Tanzania

Prof Justinian Rweyemamu
 


Mkuu sina tatizo na kukosolewa, wewe mwenye taarifa tuhabarishe badala ya kuja na mipasho kama ya taarab. Hata hivyo mjadala kuhusu huyu jamaa ulishafayika hapa JF, unaweza kujisomea mwenyewe: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ge-aliyechachafya-miaka-hiyo.html#post1478208

Wewe ndio unaleta taarabu na dharau za kishamba, unapodharau degrees za mtu kwa kuita Vi BA's huo kama sio ulimbukeni ni nini? atleast hata ungekua ulimfatilia enzi zake na kina Njeru alikuwaje huyu Guru, any way it become more boring to argue with you...
 
Ni dr. JUSTICE RWEMAMU,HARVARD . Ameshafariki kazaliwa 1942,miaka ya 76 alishafanya kazi pale udsm kitivo cha uchumi ,mzee wangu anasema alikuwa na akili hatari. huyo ndio msomi mkubwa hapa Tanzania.
Alikuwa anaitwa Justinian Rweyemamu. Ndiye aliyesaidia kutunga blue print ya kuanzisha viwanda vya umma katika mikoa mbalimbali Tanzania.
 
Back
Top Bottom