Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Acha na huo, upo mwingine wa Pigblack una bonge la beat na kaimba kila.kitu mwenyewe, kuna sehemu kwenye kiitikio anasema TANZA N-I-APigblack na Mr, blue!
Acha na huo, upo mwingine wa Pigblack una bonge la beat na kaimba kila.kitu mwenyewe, kuna sehemu kwenye kiitikio anasema TANZA N-I-APigblack na Mr, blue!
Usimsahau prof ludigo, kuna beats nyingi zina mkono wake lakini credit anachukua majani na master Jay.Master jay,P funky,miika mwamba,Bonny love hawa jamaa ni ma producer bora wa muda wote hapa nchini
Wote ni watayarishaji wazuri ila Majani ni namba ingine! Ukitaka kujua sikiliza oldschool popote pale zitakapopigwa ktk nyimbo 10, sita au 7 zitakua na mkono wa majani au zimepitia Bongo records!P funk ni exceptional mkuu.
Usimsahau prof ludigo, kuna beats nyingi zina mkono wake lakoni credit anachukua majani na master Jay.
Ile ngoma ya tutakukumbuka daima milele, ile beat mpaka leo imenifanya ile ngoma naielewaDaaa kabisa mkuu nilimsahau huyu jamaa ni noma sana kawafanya east coast team wawe juu na king GK
Dah, Prof Ludigo! Alifanyaga ile mpiga debe chorus yupo QChief....., kupiga debeeee kwangu ilikua poaa! Fani ktk maishaa ikaja kuniokoa!Usimsahau prof ludigo, kuna beats nyingi zina mkono wake lakoni credit anachukua majani na master Jay.
Uzuri bongo records alikuwa kajaza vichwa vingi kuanzia akina soggy doggy, beat za soggy kazigonga mwenyewe, she got gwan mkono wa soggy na mzungu kichaa, bado kuna akina bizzman alikuwa anaaminiwa sana kwa strings, hapo kuna kipindi walikiwepo akina prof ludigo pale,Wote ni watayarishaji wazuri ila Majani ni namba ingine! Ukitaka kujua sikiliza oldschool popote pale zitakapopigwa ktk nyimbo 10, sita au 7 zitakua na mkono wa majani au zimepitia Bongo records!
Naikumbuka hyo ngoma...Dah, Prof Ludigo! Alifanyaga ile mpiga debe chorus yupo QChief....., kupiga debeeee kwangu ilikua poaa! Fani ktk maishaa ikaja kuniokoa!
RoyMaster jay,P funky,miika mwamba,Bonny love hawa jamaa ni ma producer bora wa muda wote hapa nchini
Mpaka kina Lamar na Fundi Samweli wamepita Bongo record!Uzuri bongo records alikuwa kajaza vichwa vingi kuanzia akina soggy doggy, beat za soggy kazigonga mwenyewe, she got gwan mkono wa soggy na mzungu kichaa, bado kuna akina bizzman alikuwa anaaminiwa sana kwa strings, hapo kuna kipindi walikiwepo akina prof ludigo pale,
Tofauti na siku hizi zamani beat zilkuwa haziwekewi signature za producer bali utaskia wanataja studio.
G records hiyo!! Kakaake Enika!
Bongo records kweli chuo cha mafunzo.Mpaka kina Lamar na Fundi Samweli wamepita Bongo record!
Kitu cha baridi kama hii, ile video ya adam jum nikawa nasema jamaa mkali maana mara barafu mara target mara sijui papa.G records hiyo!! Kakaake Enika!
Hatar hii kituSiyo FM studios waliotengeneza mimi na mabinti damu damu.
Sijui ni ludigoMtoto wa geti ya Inspector
alitengeneza nani?