Nani aliipata kazi BARRICK GROUP

Lameckjr

Senior Member
Sep 26, 2020
133
247
Habari wakulungwa
Leo katika pitapita zangu kwenye email zangu nikakutana na email 📧 niliambiwagwa nijiandae kwa virtual interview, lakini mpaka Leo Mwezi wa Tano

Lakini nakumbuka hilo Tangazo lilikuwa linahitaji watu kibao wa logistics, marketing na sales nk

Nimeona niulize vipi kuna mtu alitoboaga
Kumbe sio Barrick wa mgodini!!

Screenshot_20210902-074230_Gmail.jpg
 
Andika upya ulichokiandika hapo juu mkuu..this time andika taratibu tupate kukuelewa na kuchangia mada hii kwa ufasaha.
 
Back
Top Bottom