cjilo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 884
- 444
Safi sana Makonda tumekuelewa, serikali ina fedha nyingi sana inatafuta matumizi tuuKufikiri kimasikini ni kubaki masikini.
Kama ni kweli, safi sana Makonda.
Safi sana Makonda tumekuelewa, serikali ina fedha nyingi sana inatafuta matumizi tuuKufikiri kimasikini ni kubaki masikini.
Kama ni kweli, safi sana Makonda.
washampata, tatizo la mako** ukilaza unamsumbua, hakuwa na sababu ya kuji show up likizo yake ya USA. Pia swala la madawa angeshirikisha angalau waziri wa mambo ya ndani lakini yy anataka sifa za kitoto wakati ukuu wa mkoa ni nafasi nyeti sana serikali. Hii inashusha hadhi ya serikali, serikali inatakiwa ijijengee reputation na sio hivi anavofanya makondeko.Hahahahahaaaaa. Yaani mmemtafuta Makonda mmemkosa. Sasa mnaanza kuwa na wivu na ofisi yake. Imewauma sana kuona Ofisi yake inakuwa na hadhi nzuri kuliko Ofisi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mtaa wa Ufipa licha ya kupokea mamilioni ya fedha za ruzuku
Hapa unampigilia nyoka na nyundo kichwani. Mkuu kuna majina ya moto ukiyataja ulimi utaungua. Kausha kausha.....trip za mamtoni,masogange na makazi,nyumba na mtaji kwa scorpion,jengo la 2bln kwaajili ya Bakwata etc etc,vyote hivyo anapewa tu na kampuni ile ile ya watu wale wale ambao inasemekana waliwapokea wakina Wema na Wolper kule china,a.k.a balozi wa heshima,Salah,sijui ndio mchezaji mpira wa Misri!!
Hizi ndizo fikra zisizobadilika. Dar ni jiji kubwa kuliko majiji yote Tanzania halafu ofisi ya mkuu wa mkoa ibakie kuwa kama ilivyokuwa mwaka 1984!!.Picha zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao kuonyesha ufahari wa hali ya juu wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa dar es salaam.
Ofisi hiyo imekuwa tofauti kabisa na ile ya Mkuu wa mkoa aliyepita bwana Sadick, ofisi ya Makonda ina kompyuta kadhaa za apple,mapambo mengi ya kila aina yanayoashiria ufahari na utukufu wa hali ya juu kuliko hata ofisi ya rais.
Nani aligharamia ufahari huu wakati hata ikulu haijabadili muonekano? Kulikuwa na umuhimu wa kuweka ufahari huo katika kipindi hiki cha kubana matumizi?
Nini kilipungua katika ofisi ya aliyekuwa Mkuu wa mkoa mpaka ufahari uongezwe katika jiji ambalo limezungukwa na wananchi wenye hali ngumu na maisha yasiyoridhisha.picha zaidi za ukarabati huu ziko instagram page ya. QUALITY HOMES
View attachment 348618
Chura huwa anaruka,anaweza kurukia kwenye koromeoHizi ndizo fikra zisizobadilika. Dar ni jiji kubwa kuliko majiji yote Tanzania halafu ofisi ya mkuu wa mkoa ibakie kuwa kama ilivyokuwa mwaka 1984!!.
Makonda kaza uzi, unalolifanya ni jema, hizi kelele za chura haziwezi kumsumbua tembo asinywe maji.
watu wanataka kujua nani aligharamia?Hizi ndizo fikra zisizobadilika. Dar ni jiji kubwa kuliko majiji yote Tanzania halafu ofisi ya mkuu wa mkoa ibakie kuwa kama ilivyokuwa mwaka 1984!!.
Makonda kaza uzi, unalolifanya ni jema, hizi kelele za chura haziwezi kumsumbua tembo asinywe maji.
Poor thinking, unataka ofisi ibakie na muonekano ule ule wa zamani.Chura huwa anaruka,anaweza kurukia kwenye koromeo
Ofisi zote hugharamiwa na nani?. Kodi zinazokusanywa unataka zifanye kazi gani?. Punguza kusoma magazeti ya udaku.watu wanataka kujua nani aligharamia?
Kwahiyo ofisi za wakuu wa mikoa yoote TANZANIA zimefanyiwa ukarabati kwa pesa za serikali na zinafanana na ofisi ya mkuu wa mkoa wa DSM?Ofisi zote hugharamiwa na nani?. Kodi zinazokusanywa unataka zifanye kazi gani?. Punguza kusoma magazeti ya udaku.
sawa hiyo ni pesa ndogo,swali je anatoa ufukoni kwake au serikali ndio inatoa hizo fedha?na hiyo ni kwa mkuu wa mkoa wa DAR au mikoa yote ya TANZANIA?Kwani computer za Apple za desktop zinauzwaje. Moja imezidi sana 1.5 milioni kama zipo 20. Ni milioni 30. Mbona pesa za kawaida sana acheni wivu wa kike. Unafikiri kuwa mkuu wa mkoa ni kazi ya kitoto, kuna pesa ya ofisi na marupu rupu mengi tuu. Wengineo wakipewa wanafanya tofauti. Na hata kama ulijipendekeza na pesa zako za Madawa ukamnunulia imekula kwao anawataja kama kawaida
Hawezi kuja hapa yupo msukuma hilo hajalijua ameuliza tu gharama za kwenda USANi vizuri muhusika afanunue
Pesa iliyotumika ni binafsi au ya serikali?Poor thinking, unataka ofisi ibakie na muonekano ule ule wa zamani.