Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,160
- 1,493
Kumekuwa na kelele nyingi kutoka kwa baadhi ya Wanachama wa Chadema tena wengine Viongozi mfano ni Sugu, Heche, pambalu na Wanaharakati wengi wakipinga kwa nguvu zote kuwa Kijana Majaliwa hakufungua mlango wa ndege iliyopata ajali hivi karibuni huko Bukoba.
Ni ukosefu wa hoja na upumbavu kulalamika kwa hili, hata kama ni kweli kijana Majaliwa hakufungua yeye mlango wa ndege, muhimu ni kuwa alikuwa wa mwanzo kabisa kusaidia manusura ajali, alifanya kazi kubwa ya kusaidia ndugu zetu, alipambana mpaka kutaka kuhatarisha maisha yake.
Haiwajengi kulalamika kwa hili ila nikuonyesha ukosefu wa hoja, hata kama mlango ulifunguliwa na wahudumu basi walifanya kazi yao na Mungu atawabariki kwa hilo.
Tanzania itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni ukosefu wa hoja na upumbavu kulalamika kwa hili, hata kama ni kweli kijana Majaliwa hakufungua yeye mlango wa ndege, muhimu ni kuwa alikuwa wa mwanzo kabisa kusaidia manusura ajali, alifanya kazi kubwa ya kusaidia ndugu zetu, alipambana mpaka kutaka kuhatarisha maisha yake.
Haiwajengi kulalamika kwa hili ila nikuonyesha ukosefu wa hoja, hata kama mlango ulifunguliwa na wahudumu basi walifanya kazi yao na Mungu atawabariki kwa hilo.
Tanzania itajengwa na Watanzania.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.