Habari wanaJF.
Leo kwenye magazeti asubuhi nimesikia habari ya wanafunzi 7 wa kike form 4 wamepata mimba kwa pamoja ndani ya miezi mitatu, shule ipo wilaya ya Rombo Kilimanjaro inaitwa Maida. Licha ya ufuska wanaofanya, pia wanauza na kuvuta bangi. Je, lawama ni kwa wazazi, walimu au jamii inayowazunguka?
Nani alaumiwe..
Leo kwenye magazeti asubuhi nimesikia habari ya wanafunzi 7 wa kike form 4 wamepata mimba kwa pamoja ndani ya miezi mitatu, shule ipo wilaya ya Rombo Kilimanjaro inaitwa Maida. Licha ya ufuska wanaofanya, pia wanauza na kuvuta bangi. Je, lawama ni kwa wazazi, walimu au jamii inayowazunguka?
Nani alaumiwe..