frozen
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 135
- 32
Ndugu zangu wana jf, naomba tuthubutu hapa jukwaani na kuacha unafiki kwa kuwataja watu wote ambao wana husika na biashara ya madawa ya kulevya hapa dar es salaam. Vijana wengi hasa maeneo ya kinondoni, mwananyamala ni mateja/watumiaji wakuu wa madawa ya kulevya. Vijana hawa na ndo hadhina ya maendeleo ya taifa letu. Kuna watu wengi ambao kwa namna moja au nyingine wanausika na biashara hii na kwaharibu vijana wetu. Naomba tuthubutu hapa jf, kuwataja majina yao labda kwa kupitia hapa wanaweza badilika.