Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,723
- 2,006
Naona Pohamba amepata waunga mkono wengi kwenye hz post za kinondoni. Wanalalamika kwa cdm haikugombea na why sasa wagombee. Like za kutosha. Ukweli kwamba km unafikiri kwa Uhuru na kwa kutumia akili ya kawaida na si form iv, utaelewa ukweli kwamba Chadema wapo vizuri sana kwa maamuzi yao.