toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 278
Katika kosa ambalo CHADEMA wamelifanya litakuja kuwagharimu ni kusimamisha mgombea katika jimbo la Kinondoni na Siha.
Ikumbukwe ya kwamba siku chache zilizopita tulisusia uchaguzi kwa sababu ya kutokuwa na imani na tume lakini pia tukaorodhesha na kasoro kuhusu tume na chaguzi zilizotufanya tujiondoe katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Longido, Songea na Singida.
Leo hii tunashiriki uchaguzi na tume ile ile ambayo tulidai kwa ushahidi haikutenda haki leo tunashiriki uchaguzi na uchaguzi huu na tume ile ile ambayo mbowe alilalamikia na kasoro zote alizozitoa lakini sijui kama tume imezifanyia kazi na uchaguzi huu CCM wana asilimia zote za kushinda
Na endapo CCM itashinda hii itakuwa ni dharau kwa wapinzani na hapo ndipo mtawapa la kuongea akina Mtuliaa.
Je ikitokea tumeanguka ni nani alaumiwe kwanza katika hili maana tulisusa na sasa tunashiriki na tume ile ile ambayo tuliigomea sasa ikishinda CCM tutasemaje?
Ikumbukwe ya kwamba siku chache zilizopita tulisusia uchaguzi kwa sababu ya kutokuwa na imani na tume lakini pia tukaorodhesha na kasoro kuhusu tume na chaguzi zilizotufanya tujiondoe katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Longido, Songea na Singida.
Leo hii tunashiriki uchaguzi na tume ile ile ambayo tulidai kwa ushahidi haikutenda haki leo tunashiriki uchaguzi na uchaguzi huu na tume ile ile ambayo mbowe alilalamikia na kasoro zote alizozitoa lakini sijui kama tume imezifanyia kazi na uchaguzi huu CCM wana asilimia zote za kushinda
Na endapo CCM itashinda hii itakuwa ni dharau kwa wapinzani na hapo ndipo mtawapa la kuongea akina Mtuliaa.
Je ikitokea tumeanguka ni nani alaumiwe kwanza katika hili maana tulisusa na sasa tunashiriki na tume ile ile ambayo tuliigomea sasa ikishinda CCM tutasemaje?