Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Pilikapilika za Uchaguzi Mkuu wa 2020 zimeanza. Tayari Mbunge wa Muleba Kaskazini kwa tiketi ya Chama tawala CCM Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka ametangaza kutowania ubunge.
Naye Diwani wa Ubungo Kwa tiketi ya Chadema Boniface Jacob ametangaza kutowania Tena udiwani baada ya kuongoza kwa vipindi viwili huku akisema amewasikia wananchi wa Ubungo. Bila Shaka kuwasikia ni Kuwa sasa atawania ubunge.
Swali kwako mwana JF mwenzangu Ni mwanasiasa yupi ungependa kumuona akiingia bungeni na yupi usingependa kumuona akiwepo bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao?
Naye Diwani wa Ubungo Kwa tiketi ya Chadema Boniface Jacob ametangaza kutowania Tena udiwani baada ya kuongoza kwa vipindi viwili huku akisema amewasikia wananchi wa Ubungo. Bila Shaka kuwasikia ni Kuwa sasa atawania ubunge.
Swali kwako mwana JF mwenzangu Ni mwanasiasa yupi ungependa kumuona akiingia bungeni na yupi usingependa kumuona akiwepo bungeni baada ya uchaguzi mkuu ujao?