Nani aijenge na kuipigania Tanganyika kama siyo Watanganyika!?

Hatuja"laaniwa" na mtu, wala mungu. Tumejilaani wenyewe na tunaendelea kujilaani.

Werevu umetushinda, tunajaribu ujinga. Nao tukiona hautufai, tutatafuta werevu tena hapo mambo yataanza kunyooka tena.

Kama taifa bado hatupendani, wala hatuoneani huruma. tuna mawazo ya kudhulumu na kukomoana.

Siku tutakapong'amua kuwa kila mtu anapata haki yake katika taifa letu na kila mtu anatendewa usawa basi laana tunayojipiga itatundokea.

Leo kila kundi linataka kundi jengine liondoke ili wapate "kutesa" kwa zamu.
Kiufupi hatujitambui, tupo tupo.
Jee unafahamu kilimo cha mpunga?
Jamii yetu pia inabidi kupitia hatua hizo... Mpunga unatoka katika tope!
 
Tulikuwa kwenye Basi lililo jazana hata pa kupumua hakuna konda anapanga watu kwa kuwasukuma kama ng'ombe kituo kilicho fuata konda anaongeza abiria kwa madai kuwa gari haijai kinachojaa ni ndoo ya maji Mwana nyii vipi î£ýù@ö
Kama sivyo kakodi taxi huku tupo kwenye foleni kubwa tukivuja jasho wote ndani ya basi tuliridhika na hali hiyo

Tulipo shuka mama mmoja akanikabili akasema Tanganyika tumelaaniwa na hizi alama/dalili si zake bali za M/MUNGU Akasema;

1-MUNGU atakutia woga hata ukiona unyasi utafikiri ni nyoka utatoka mbio.

2-Kondoo wako atachukuliwa kuchinjwa na kuliwa machoni kwako wewe hutii neno

3-Utaoa wewe mkeo atachukuliwa na wengine

4-Utajenga wewe wataishi wageni wewe hutakaa humo

5-Kutakuwa na mafarakano kama Babeli lete maji utapeleka moto lete mwiko utapeleka kalai jambo dogo utaliona kubwa utahaha jambo kubwa utalipuuza!

6-Kila kitu utasema nitafanya kesho na kutumainishwa upepo!

KWELI TUMELAANIWA?
KAMA KWELI TUFANYE NINI?
KAMA SIO KWELI TUMEJIKWAA WAPI?
KARIBUNI JAMVI HILOO!

Hatujalaaniwa, tatizi ni sisi wenyewe ndio majuha. Kuna sababu gani ya kupanda basi limejaa? Si watu waache kupanda basi lililojaa na kusubiri jingine? Watu wakigoma kupanda basi lilojaa na kusubiri jingine, je kuna mtu atawalazimisha?
 


Katiba ni SHERIA MAMA ambapo sheria zote za nchi hupatikana na kufanyiwa kazi.

Wakati sheria za kawaida hutungwa na wawakilishi wa wananchi kwa maana ya Wabunge kule bungeni Dodoma, Katiba ni sheria mama yenye UPEKEE KATIKA JAMII HUSIKA ambapo utungaji wake ni JUKUMU LA RAIA WOTE katika nchi.

Sasa Ugomvi mkubwa kati ya vyama vya upinzani na Wanaharakati, kwa upande mmoja, dhidi ya CCM ni katika kusema kwamba NI HAKI YA KILA MTANZANIA KUSHIRIKI MOJA KWA MOJA katika kutekeleza wajibu wao kutunga Katiba Mpya.

Lakini wao CCM wakiongozwa na Mafisadi wao wanasema Rais ANATOSHA KUTUTUNGIA TU KATIBA KWA KUSHIRIKIANA NA LOWASA, CHENGE na akina ROSTAM AZIZI kututungia tu katiba hiyo kupitia KIKUNDI CHA MADALALI WAO KWA JINA LA WATAALAM WALIOBOBEA KWENYE SHERIA.

Sasa swali hapa ni kwamba; tangu lini Watanzania tukasikia KIKUNDI CHA Mi-FISI wakatunga sheria murua ya kulinda maslahi ya SWALA jangwani???

UWEZO TUNAO, haki hapewi mtu bali ni kwamba haki hufuatwa na kuchukuliwa. Kazi inaendelea kila kona ya nchi kwa watu tunaojali maslahi ya taifa letu. Hakuna kulala!!!
 
Ukoo wenu tu.........mumelaaniwa!

Mwanangu Ukiangalia hizo dalili za laana hakika nawe kuna sehemu umepata athari! na ukiangalia jinsi MMUNGU alivyo tupendelea na kutujalia mali asili nyingi kuliko nchi nyingi duniani! lakini wenyenchi ni maskini hadi tunakufa kwa kukosa dawa za kawaida tu. Na ukifa sanda kiroba! wanetu wanakalia mawe darasani nk nk! mimi nakubali nimelaaniwa lakini mimi ni sehemu ya wewe kwa maana wote ni watg na kidole kikiuma mwili wote umeumia!

Ushauri wangu kwako;

Laana kama ilivyo ni tatizo/siotatizo Ni tatizo usipo iona na kujisahihisha na si tatizo pale unapo iona na kujirekebisha.

Utafakari kabla ya kujibu chochote!

JITAMBUE MWANANGU!
 
Hatujalaaniwa, tatizi ni sisi wenyewe ndio majuha. Kuna sababu gani ya kupanda basi limejaa? Si watu waache kupanda basi lililojaa na kusubiri jingine? Watu wakigoma kupanda basi lilojaa na kusubiri jingine, je kuna mtu atawalazimisha?

Ndio laana hiyo ndugu yanu hapo unaongeza dalili
Kinacho takiwa kila mtu TUKIONGOZWA NA VIONGOZI WETU kwa imani Zetu tufunge Tuombe Maghufira/Toba ya dhati kwa MOLA ILI ASAMEHE TAIFA HILI Mungu wa rehema na kusamehe ATUSAMEHE!
Tukiendelea jeuri yetu mwisho wake TUTAKOMA!
 
Tatizo siyo kulaniwa ni kwamba mwafrica anapenda sana prestige na hiyo ndiyo inaua maendeleo ya jamii.
 


Katiba ni SHERIA MAMA ambapo sheria zote za nchi hupatikana na kufanyiwa kazi.

Wakati sheria za kawaida hutungwa na wawakilishi wa wananchi kwa maana ya Wabunge kule bungeni Dodoma, Katiba ni sheria mama yenye UPEKEE KATIKA JAMII HUSIKA ambapo utungaji wake ni JUKUMU LA RAIA WOTE katika nchi.

Sasa Ugomvi mkubwa kati ya vyama vya upinzani na Wanaharakati, kwa upande mmoja, dhidi ya CCM ni katika kusema kwamba NI HAKI YA KILA MTANZANIA KUSHIRIKI MOJA KWA MOJA katika kutekeleza wajibu wao kutunga Katiba Mpya.

Lakini wao CCM wakiongozwa na Mafisadi wao wanasema Rais ANATOSHA KUTUTUNGIA TU KATIBA KWA KUSHIRIKIANA NA LOWASA, CHENGE na akina ROSTAM AZIZI kututungia tu katiba hiyo kupitia KIKUNDI CHA MADALALI WAO KWA JINA LA WATAALAM WALIOBOBEA KWENYE SHERIA.

Sasa swali hapa ni kwamba; tangu lini Watanzania tukasikia KIKUNDI CHA Mi-FISI wakatunga sheria murua ya kulinda maslahi ya SWALA jangwani???

UWEZO TUNAO, haki hapewi mtu bali ni kwamba haki hufuatwa na kuchukuliwa. Kazi inaendelea kila kona ya nchi kwa watu tunaojali maslahi ya taifa letu. Hakuna kulala!!!

Nimeyapenda maneno yako. Yanasisimua na kuhamasisha kwelikweli. Safari hii lazima kieleweke, katiba lazima ipatikane whether jk na mafisadi wake wanataka au hawataki.
 
Yo have simply and unknowingly described what we call Nyerere effects.

Thinks deeply you will realise he is the one reponsible for all what is happening today
 
Yo have simply and unknowingly described what we call Nyerere effects.

Thinks deeply you will realise he is the one reponsible for all what is happening today

Ukiona kundi la siasa Nyerere YUPO+Zidumu fikra sahihi....+Ujamaa ni imani+Mwenge + Nyamrunda+Ombeni chochote kwa jina langu.......

TUOMBE TOBA!
 
nimetoka Unguja siku 2 tu zilizopita na nilikaa huko kwa siku 10 kwa mapumziko binafsi. Niliweza kukaa hoteli kubwa za kitalii (Next Paradise-Pwani Mchangani, Zanzibar Villas-Paje, Dhow Palace na Kisiwa House-Stone town). Nilipata muda wa kutosha kutembelea vituo kadhaa vya utalii (Slave market, Jozani Chwaka Bay National Park, House of wonder, Spice tourism sites etc) pia nikapata muda wakutosha ku-probe information kadhaa kutoka watu mbalimbali (Wazenji na wabara). It was so clear kwamba kule kuna ubaguzi mkubwa wa chinichini na wa waziwazi dhidi ya wabara na wakristo. Kulikuwa na waiter fulani mkristo toka bara aliniambia ilimchukua miezi mitano kupata chumba cha kupanga simply alipoulizwa dini na asili yake na kutaja 'mkristo na mchaga' alinyimwa chumba. Dada fulani pale Ndame Village (Paje) alipewa 48-hour vacating house notice wakati wa Ramadhan maana alikuwa analazimishwa asipike na kula mchana, worse enough alikuwa anapikia chumbani kwake.

Kuna issue ya kuchomewa moto baa. Kuna incidence ilitokea pale mji mkongwe ambapo baa 2 zilizokaribu ziliwahi kuchomwa moto kwa vipindi tofauti. baa zote hizo mbili zinamilikiwa na watanganyika. Katikati ya baa hizi kuna baa inayomilikwa na Mzenji anayeishi London kwa sasa ila hadi sasa haijachomwa.

Wana bendera yao, wana system yao ya vehicle registration (kwenye plate namba zao wanaweka EAZ-nafikiri ni East Africa Zanzibar nilifikiri wangweka EAT), wana wimbo wao wa taifa wana bunge lao so let us let'em go.

mifani iko mingi ya kiunyanyasaji kwa watanganyika especially wakristo huko zanzibar ila muda ni tatizo kuiorodhesha hapa. iliniuma sana nikizingatia hawa jamaa wanavyo-enjoy na ku-flourish huku bara very freely. Since then, naanza kupata chuki na wazenji so i will be very happy if they go!!
 
Kama mnahisi mnabaguliwa kwanini hamurudi nchini kwenu Tanganyika mnang'ang'ania huko nini?
 
nimetoka Unguja siku 2 tu zilizopita na nilikaa huko kwa siku 10 kwa mapumziko binafsi. Niliweza kukaa hoteli kubwa za kitalii (Next Paradise-Pwani Mchangani, Zanzibar Villas-Paje, Dhow Palace na Kisiwa House-Stone town). Nilipata muda wa kutosha kutembelea vituo kadhaa vya utalii (Slave market, Jozani Chwaka Bay National Park, House of wonder, Spice tourism sites etc) pia nikapata muda wakutosha ku-probe information kadhaa kutoka watu mbalimbali (Wazenji na wabara). It was so clear kwamba kule kuna ubaguzi mkubwa wa chinichini na wa waziwazi dhidi ya wabara na wakristo. Kulikuwa na waiter fulani mkristo toka bara aliniambia ilimchukua miezi mitano kupata chumba cha kupanga simply alipoulizwa dini na asili yake na kutaja 'mkristo na mchaga' alinyimwa chumba. Dada fulani pale Ndame Village (Paje) alipewa 48-hour vacating house notice wakati wa Ramadhan maana alikuwa analazimishwa asipike na kula mchana, worse enough alikuwa anapikia chumbani kwake.

Kuna issue ya kuchomewa moto baa. Kuna incidence ilitokea pale mji mkongwe ambapo baa 2 zilizokaribu ziliwahi kuchomwa moto kwa vipindi tofauti. baa zote hizo mbili zinamilikiwa na watanganyika. Katikati ya baa hizi kuna baa inayomilikwa na Mzenji anayeishi London kwa sasa ila hadi sasa haijachomwa.

Wana bendera yao, wana system yao ya vehicle registration (kwenye plate namba zao wanaweka EAZ-nafikiri ni East Africa Zanzibar nilifikiri wangweka EAT), wana wimbo wao wa taifa wana bunge lao so let us let'em go.

mifani iko mingi ya kiunyanyasaji kwa watanganyika especially wakristo huko zanzibar ila muda ni tatizo kuiorodhesha hapa. iliniuma sana nikizingatia hawa jamaa wanavyo-enjoy na ku-flourish huku bara very freely. Since then, naanza kupata chuki na wazenji so i will be very happy if they go!!

Kuna wakati makanisa pia yalishawahi kuchomwa moto huko.
 
Ubaguzi ni mkubwa sana Zanzibar, hasa wa kidini.
HM Hafif, dawa ya ubaguzi si kutoka, wewe ukiwa na tatizo na mumeo utakachoona cha maana ni kumwacha au kuomba talaka??? Kama ni hivyo basi utaachwa na wengi. issaue hapa ni kutafuta dawa ya kupunguza/ kuondoa huo ubaguzi

Kama mnahisi mnabaguliwa kwanini hamurudi nchini kwenu Tanganyika mnang'ang'ania huko nini?
 
Kama mnahisi mnabaguliwa kwanini hamurudi nchini kwenu Tanganyika mnang'ang'ania huko nini?

Ndiyo tatizo la wazee wa 'vibandiko' na 'ubwabwa' kazi yao ni kuendekeza udini tu. Kwao upendo ni kumpenda muislam, basi. Wana matatizo sana.

.
 
nimetoka Unguja siku 2 tu zilizopita na nilikaa huko kwa siku 10 kwa mapumziko binafsi. Niliweza kukaa hoteli kubwa za kitalii (Next Paradise-Pwani Mchangani, Zanzibar Villas-Paje, Dhow Palace na Kisiwa House-Stone town). Nilipata muda wa kutosha kutembelea vituo kadhaa vya utalii (Slave market, Jozani Chwaka Bay National Park, House of wonder, Spice tourism sites etc) pia nikapata muda wakutosha ku-probe information kadhaa kutoka watu mbalimbali (Wazenji na wabara). It was so clear kwamba kule kuna ubaguzi mkubwa wa chinichini na wa waziwazi dhidi ya wabara na wakristo. Kulikuwa na waiter fulani mkristo toka bara aliniambia ilimchukua miezi mitano kupata chumba cha kupanga simply alipoulizwa dini na asili yake na kutaja 'mkristo na mchaga' alinyimwa chumba. Dada fulani pale Ndame Village (Paje) alipewa 48-hour vacating house notice wakati wa Ramadhan maana alikuwa analazimishwa asipike na kula mchana, worse enough alikuwa anapikia chumbani kwake.

Kuna issue ya kuchomewa moto baa. Kuna incidence ilitokea pale mji mkongwe ambapo baa 2 zilizokaribu ziliwahi kuchomwa moto kwa vipindi tofauti. baa zote hizo mbili zinamilikiwa na watanganyika. Katikati ya baa hizi kuna baa inayomilikwa na Mzenji anayeishi London kwa sasa ila hadi sasa haijachomwa.

Wana bendera yao, wana system yao ya vehicle registration (kwenye plate namba zao wanaweka EAZ-nafikiri ni East Africa Zanzibar nilifikiri wangweka EAT), wana wimbo wao wa taifa wana bunge lao so let us let'em go.

mifani iko mingi ya kiunyanyasaji kwa watanganyika especially wakristo huko zanzibar ila muda ni tatizo kuiorodhesha hapa. iliniuma sana nikizingatia hawa jamaa wanavyo-enjoy na ku-flourish huku bara very freely. Since then, naanza kupata chuki na wazenji so i will be very happy if they go!!
Slaves cant think anywhere nearly to a free man..Zanzibar are slaves in lots of things.Including "..Mentally..". Barbarism will never end there.They are fighting for an empty land...which needs more foreigners to develop.. next time naenda chukua karafuu naotesha ktk mapori then wakajiriwe kuwa terrorists....They have been terrorizing us for years...
 
Back
Top Bottom