Nane Nane Arusha kitendawili baada ya Mrisho Gambo kukacha ukaguzi kabla ya uzinduzi

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Mkuu wa Mkoa Arusha, Mrisho Gambo akacha maonesho ya Nanenane leo ambapo ratiba inaonesha alitakiwa kuyatembelea kabla ya ufunguzi rasmi hapo kesho.

Wadadisi wanasema hii nikutokana na tetesi kuwa amewaonea wafanyabiashara waliowekeza ndani ya Nanenane kwa miaka mingi
ambapo sasa wameambiwa watoke na maduka kulipa tshs. 200,000 kwa wiki hii ya Nanenane kodi ambayo ni kinyume na sheria kwani haipo kwenye mkataba bali ni agizo lake.

Hali katika maonesho ya Nanenane imekuwa tete baada ya Mkuu wa Mkoa kulazimisha mambo kwani amehodhi kila kitu yeye hata vitambulisho na utoaji wake na risiti kuwa na Muhuri wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa naona unaongelea wafanya biashara vinywaji etc etc......Vipi upande wa Maonyesho ya kilimo yenyewe.....wadau wa kilimo wapo wa kutosha?
 
Mkuu wa mkoa Arusha ,Mrisho Gambo akacha maonyesho Nane Nane leo ambapo ratiba inaonyesha kuyatembelea kabla ya ufunguzi rasmi hapo kesho.
Wadadisi wanasema hii nikutokana na tetesi kuwa amewaonea wafanyabiashara waliowekeza ndani ya Nanenane kwa miaka mingi
ambapo sasa wameambiwa watoke na maduka kulipa tshs.200,000 kwa wiki hii ya nanenane
kodi ambayo ni kinyume na sheria kwani haipo kwenye mkataba bali ni agizo lake,
katika maonyesho ya nanenane imekuwa tete baada ya mkuu wa mkoa kulazimisha mambo kwani amehodhi kila kitu yeye hata vitambulisho na utoaji wake. Na risiti yenye Muhuri wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei za maonyesho huwa tofauti na za siku Za kawaida nenda viwanja vyote vya maonyesho huwa hivyo vinginevyo waliopanga waondoke wapishe waonyeshaji waingie maonyesho yakiisha warudi. Ujue wanakuletea wateja maelfu kwenye eneo lako kupitia maonyesho wateja ambao usingewapata kwa juhudi zako. Ni kipindi cha wewe kufanya biashara bila kujitangaza wala nini. Kama unaona hailipi toka kwa jina la Yesu pisha wengine waingie hilo banda walipe hiyo pesa maonyesho yakiisha urudi
 
Bei za maonyesho huwa tofauti na za siku Za kawaida nenda viwanja vyote vya maonyesho huwa hivyo vinginevyo waliopanga waondoke wapishe waonyeshaji waingie maonyesho yakiisha warudi. Ujue wanakuletea wateja maelfu kwenye eneo lako kupitia maonyesho wateja ambao usingewapata kwa juhudi zako. Ni kipindi cha wewe kufanya biashara bila kujitangaza wala nini. Kama unaona hailipi toka kwa jina la Yesu pisha wengine waingie hilo banda walipe hiyo pesa maonyesho yakiisha urudi
Tumekusikia gambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom