Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni .
Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya.
Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo wapi.. nywele huchani na kujifanya mtoto wa mujini.
Nandy ni mtoto wetu mzuri huku bukoba ila hizi picha na mwimbaji wa Injili wakenya wanasema sio halisi ni za kutengeneza.
Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya.
Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo wapi.. nywele huchani na kujifanya mtoto wa mujini.
Nandy ni mtoto wetu mzuri huku bukoba ila hizi picha na mwimbaji wa Injili wakenya wanasema sio halisi ni za kutengeneza.