NANDI ALICHEPUKA???

Katika ile video nakumbuka walikuwa wameplay nyimbo ya Billnas-sina jambo ambayo aliitoa mwaka 2017

Scandal yenyewe ilitokea mwaka jana nafikiri..means kuna utata juu ya muda walioanza kudate Ruge na Nandy...ni either wameongopa Ruge na Nandy hawakudate miaka mitatu au Nandy alichepuka

Halafu hainihusu​
Nandy kapata fame 2016 baada ya kutoka kushiriki tecno own the stage..Hesabu za mahusiano na Ruge kwa miaka 3 naona kama zinagoma..Atakuwa kadanganya..

Btw kama waliamua mahusiano yao yawe private sioni sababu ya yeye kuyaongelea now kwenye media..Angepiga kimya tu
 
Nandy kapata fame 2016 baada ya kutoka kushiriki tecno own the stage..Hesabu za mahusiano na Ruge kwa miaka 3 naona kama zinagoma..Atakuwa kadanganya..

Btw kama waliamua mahusiano yao yawe private sioni sababu ya yeye kuyaongelea now kwenye media..Angepiga kimya tu

Ndio nashangaa anaongelea sasa ili iweje,mbaya zaidi anaongea mengine ambayo kimsingi sio ya msingi na mengine kama hivi yanonekana sio ya kweli

Ila labda anapata unafuu wa maumivu kwa kuyaongea haya
 
Nandy kapata fame 2016 baada ya kutoka kushiriki tecno own the stage..Hesabu za mahusiano na Ruge kwa miaka 3 naona kama zinagoma..Atakuwa kadanganya..

Btw kama waliamua mahusiano yao yawe private sioni sababu ya yeye kuyaongelea now kwenye media..Angepiga kimya tu
Hivi mtu akiwa hai halafu mkapatana juu ya jambo liwe siri yenu mpaka pale mtapopatana tena liwe hadharani,sasa huyo mwenzio kafa unaanza kuvujisha siri utakua humkosei?
 
Hivi mtu akiwa hai halafu mkapatana juu ya jambo liwe siri yenu mpaka pale mtapopatana tena liwe hadharani,sasa huyo mwenzio kafa unaanza kuvujisha siri utakua humkosei?
Unakuwa unazingua..Na interview zake zote kwa kipindi hiki watakuwa wanamuuliza issue hizo hizo za Ruge..Atazidi kupuyanga..Bora akae kimya
 
Ndio nashangaa anaongelea sasa ili iweje,mbaya zaidi anaongea mengine ambayo kimsingi sio ya msingi na mengine kama hivi yanonekana sio ya kweli

Ila labda anapata unafuu wa maumivu kwa kuyaongea haya
Sure..Hope kuna watu wenye akili watakuwa wamemshauri akae kimya asiongelee hizi issue
 
Huyu nae akae kimyaa sasa, Ruge akiwa hai alimkana sasa kishavuta ndo daily kutuaminisha alikua wako mxyuuu hebu kaende huko bana ndio maana kana nyama chache
 
Nandy kapata fame 2016 baada ya kutoka kushiriki tecno own the stage..Hesabu za mahusiano na Ruge kwa miaka 3 naona kama zinagoma..Atakuwa kadanganya..

Btw kama waliamua mahusiano yao yawe private sioni sababu ya yeye kuyaongelea now kwenye media..Angepiga kimya tu
ndioooo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom