NANDI ALICHEPUKA???

EricMan

JF-Expert Member
Oct 5, 2017
1,605
2,775
yNiwakumbushe tu NANDI kasem alidate na ruge miaka 3..je ile ishu na bilinas (ilikua sjui n chupi) kwan ilikua n miaka mi3 nyuma? mh ngoja niendelee kujiuliza maswal yang kimya kimya..
Screenshot_20190515-192019.jpeg
Screenshot_20190515-191503.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190515_191410_145.JPG
    IMG_20190515_191410_145.JPG
    146.2 KB · Views: 41
  • Screenshot_20190515-191503.jpeg
    Screenshot_20190515-191503.jpeg
    51.5 KB · Views: 42
  • IMG_20190515_191410_145.JPG
    IMG_20190515_191410_145.JPG
    146.2 KB · Views: 38
Katika ile video nakumbuka walikuwa wameplay nyimbo ya Billnas-sina jambo ambayo aliitoa mwaka 2017

Scandal yenyewe ilitokea mwaka jana nafikiri..means kuna utata juu ya muda walioanza kudate Ruge na Nandy...ni either wameongopa Ruge na Nandy hawakudate miaka mitatu au Nandy alichepuka

Halafu hainihusu​
 
Katika ile video nakumbuka walikuwa wameplay nyimbo ya Billnas-sina jambo ambayo aliitoa mwaka 2017

Scandal yenyewe ilitokea mwaka jana nafikiri..means kuna utata juu ya muda walioanza kudate Ruge na Nandy...ni either wameongopa Ruge na Nandy hawakudate miaka mitatu au Nandy alichepuka

Halafu hainihusu​
Inshort Ruge ndiye aliyempora Bill Nas
 
Katika ile video nakumbuka walikuwa wameplay nyimbo ya Billnas-sina jambo ambayo aliitoa mwaka 2017

Scandal yenyewe ilitokea mwaka jana nafikiri..means kuna utata juu ya muda walioanza kudate Ruge na Nandy...ni either wameongopa Ruge na Nandy hawakudate miaka mitatu au Nandy alichepuka

Halafu hainihusu​
Haahaaahaaaaaaaaa...
Umehitimisha kibabe!.
 
Katika ile video nakumbuka walikuwa wameplay nyimbo ya Billnas-sina jambo ambayo aliitoa mwaka 2017

Scandal yenyewe ilitokea mwaka jana nafikiri..means kuna utata juu ya muda walioanza kudate Ruge na Nandy...ni either wameongopa Ruge na Nandy hawakudate miaka mitatu au Nandy alichepuka

Halafu hainihusu​
hahahaha... hayatuhusu ila wasitudanganye
 
Anaendelea Kujitia Aibu Na Family Yake
Bayana Tunaficha....
Sasa Uneshakuwa Sijui Mjane Pambana Taratibu Utapata Mwingine.

Kuendelea Kuongelea Issue Ya Huyo Jamaa Aliyetangulia Unajiweka Eneo La Hovyo Kabisa
 
Anaendelea Kujitia Aibu Na Family Yake
Bayana Tunaficha....
Sasa Uneshakuwa Sijui Mjane Pambana Taratibu Utapata Mwingine.

Kuendelea Kuongelea Issue Ya Huyo Jamaa Aliyetangulia Unajiweka Eneo La Hovyo Kabisa
ni shida
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom