<br />Nasikia Sugu hana shule kabisa kichwani. Sasa mtu kama huyu atafanya kazi gani jamani zaidi ya kubwabwaja tu.
Haswaa yaani ile ameinuka kwenye kiti na mpaka anatoka nje hata nyumba ikiungua siwezi kutambua,mama ana wezere la haja hahaha! Kuna pia kadhaa hawa wa viti maalum tawala/upinzani kweli ni warembo na wana sauti nzuri.Jenista mhagama
Nadhani hapo kwenye rangi nyekundu ndio sababu ya kuchaguliwa kwaoHaswaa yaani ile ameinuka kwenye kiti na mpaka anatoka nje hata nyumba ikiungua siwezi kutambua,mama ana wezere la haja hahaha! Kuna pia kadhaa hawa wa viti maalum tawala/upinzani kweli ni warembo na wana sauti nzuri.
<br />mi namzimia na ntammiss yule dada anaeongea kwa mapozi ya kisharobaro.jina lake kama la rais alietoka butiama.mia
mbona mbaya?Nasikitika sana bunge linaahirishwa, kiukweli nilikuwa naenjoy sana kukiangalia hiki chombo kinavyotoa speech zake japo nilikuwa sizisikilizi coz muda mwingi niliutumia kuthaminisha sura yake na housing kwa ujumla. Anyway nikipata nauli nitamfuata nikamwambie kuwa mimi kwake ndio vile tena!!!!
View attachment 36057
Nasikitika sana bunge linaahirishwa, kiukweli nilikuwa naenjoy sana kukiangalia hiki chombo kinavyotoa speech zake japo nilikuwa sizisikilizi coz muda mwingi niliutumia kuthaminisha sura yake na housing kwa ujumla. Anyway nikipata nauli nitamfuata nikamwambie kuwa mimi kwake ndio vile tena!!!!
View attachment 36057
Kwangu ntammis Sana Halima Mdee. Nataka nimtafute nwambie kitu.
<br />Nasikia Sugu hana shule kabisa kichwani. Sasa mtu kama huyu atafanya kazi gani jamani zaidi ya kubwabwaja tu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
vip tena bandugu mbona wewe na sugu tuuuuu?Doh angalia bana humu tutawazua mambo then ukakimbia jamvi muraa.<br />
Nakukumbusha tu muraa.
Zito kabwe ameoa na ana mtoto mmoja. hizi ni data za ukweli kabisa
duh..................Una ndoto hata shetani anaziogopa...GOOD LUCKY lol
<br />Zito kabwe ameoa na ana mtoto mmoja. hizi ni data za ukweli kabisa
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><font size="4">Nasikitika sana bunge linaahirishwa, kiukweli nilikuwa naenjoy sana kukiangalia hiki chombo kinavyotoa speech zake japo nilikuwa sizisikilizi coz muda mwingi niliutumia kuthaminisha sura yake na housing kwa ujumla. <font color="#ff0000">Anyway nikipata nauli nitamfuata nikamwambie kuwa mimi kwake ndio vile tena!!!!</font></font></span><br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36057&stc=1" attachmentid="36057" alt="" id="vbattach_36057" class="previewthumb" />
<br /><br /><br />
Kwa nzuri ni mdada amesomea sheria na anajitahidi kutoa mawazo. Kwa bahati mbaya ana mume wake na ana nafasi nyeti tu