Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Ushauri no 1:
Kuna jamaa alikuwa na ng'ombe wake alikuwa anampeleka mnadani, akiwa njiani alitokea mteja akataka kumnunua kwa laki tatu jamaa akagoma, akatokea wa pili akataka kumnunua kwa laki mbili na 80 jamaa akagoma, lengo lake ni kumuuza kwa laki tano. Alipofika mnadani akajikuta hata kumpata mteja wa laki mbili ikashindikana na akamuuza ng'ombe kwa laki moja na 70.

Ushauri no 2
Oa mwanamke anayekupenda na si unayempenda, kwa kuwa ukioa mwanamke unayempenda ni ngumu kutambua reflection ya upendo wake kwako, kwani +ve na +ve unajua kinachotokea.
Like charges repel each other - kiswahili chake sijui.

Ushauri no 3.
Oa mwanamke mwenye akili na ni vema mwanamke akaolewa na mwanaume mwenye akili kwa kuwa upendo ukizidi hupunguza kiwango cha kufikiri.

NB: love is not static. Pia hiyo ni hali ya kawaida sana kwa wanaune waliooa nafikiri wameshakutana na kipindi kigumu kama hicho, just inatokea tu unaona kama hakuwa chaguo lako na ikitokea ukakosa msimamo unajikuta unafanya maamuzi ya ajabu ambayo matokeo yake unakuja kuyaona baadaye.
No.3 nimekuelewa
 
Watu wengi naona wanamshangaa mtoa mada wakati jambo la kawaida tu, unaweza kumpenda mtu ye anakuona kero tu anakufanyia maigizo sema tu huyu mdau kaamua kuwa mkweli wa nafsi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kifupi jamaa anaongea ukweli 100% ya sisi wanaume yanayo tukuta mi pia ni muhanga wa iyo kitu till now sema tu vitu vingine nashindwaga kushare uku jf
 
Huu upuuzi peleka Facebook
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuta bikra mkuu ila kwa mujibu wa maelezo yake ni kwamba hajawahi kua na mahusiano kama hayaa
yan hakuawahi ku enjoy mapenzi kama anavyo enjoy kwangu!
Mpe jamaa namba ya simu ya huyo manzi
 
Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."
Afadhali msaidie huyo mwanamke ila usimwache
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
kama humpendi unamwoneaje huruma sasa mwache aende akatafute ataemfaa acha kumpotezea mda wakati umri wake unasogea si vizuri hivyo
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Wewe elimu yako ya darasa la 5 ndio tatizo lako

Pili utakuwa kibamia jaribu kutafuta mfupi mwezako
 
Umeshamtambulisha kwa mama yako, kwa ndugu zako, kwa rafiki zako. Leo unasema unamuacha???!!! UTAKUJA KUJUTA, YOU ARE A STUPID YOUNG BOY.
NITUMIE NAMBA ZAKE PM NAMCHUKUA JUMLA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na huyo mwanamke anayekupenda,katafute mwanamke unayempenda lakini nafsi yake haiko kwako,iko kwa mwanaume mwingine.Ndiyo utajua kwa nini miti Mayo INA matawi kma Benji lakini haipukutishi hela
 
Wewe elimu yako ya darasa la 5 ndio tatizo lako

Pili utakuwa kibamia jaribu kutafuta mfupi mwezako

Darasa la 5 ndugu karne hizi kuna mtu kaishia darasa la 5 kwel? mana hata hao darasa la 7 ni wakuhesabu.
Kibamia labda baba ako mzazi.
 
Achana na huyo mwanamke anayekupenda,katafute mwanamke unayempenda lakini nafsi yake haiko kwako,iko kwa mwanaume mwingine.Ndiyo utajua kwa nini miti Mayo INA matawi kma Benji lakini haipukutishi hela

Ushauri mchungu huu
 
Back
Top Bottom