Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
I promise you achana nae ukijua utapata amani lkn jua utapata tabu sanaaaaaaaaaaaaaa...wanawake wa sampuli hiyo wamepungua sana duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matajiri duniani wanagombea super models warefuu.. wewe una complain? Ndoa haita kaa sana hiyo maana ushamchoka kabla ndio maana visingizio kibao.. muache apate mwingine .
Punguza mawasiliano taratibu...
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Urefu si tatizo.... Umri kidooooogo.

Hapo cha msingi NAFSI....kama Hauko Tayari piga Chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaha Dogo mzembe Sana Hajuhi raha ya Kupendwa
Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."
Hahaha hatar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewahi kupata mwanamke wa aina hiyo mkuu alinipenda kupitiliza na alikua mzuri tu lakini kumtongoza ilitokana na ubishani haikua dhamira yangu, washkaji walisema simuwezi nikafanya kweli.

Basi bana nikawa simpendi kivile tukakaa mwaka na zaidi mtoto upendo haupungui akaja kunifuma na demu mwingine room akanisamehe kwamba hata wakiwa 10 as long na yeye nampa mda wa kuwa na mimi alikua okay na hilo just imagine??.
Badae nikamuacha alikonda sana akaumwa sana and i didn't care shepu ikaisha yani nikatafutwa na ndugu zake maana ilikua ishu kubwa sana. Nikapata mtoto mkali sana nikampenda sana sijawahi kupenda hivyo maisha yangu yote nikaona hapa ndo penyewe, tukaenda kama miezi 8 siku moja nikamuona na mwanaume nikaja kumuuliza nilikuona na jamaa ni nani aisee alinijibu bila aibu eti my Boyfriend.
Nikaja kujuana na huyo jamaa asee niliumia sana ilichukua 4years kumsahau yule dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaaaaahaaaaaaa...simple and clear eti "my boyfriend"

Mapenzi ni ungese walahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom