GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Wanawake sijajua kwanini sometime mnalazimisha mwanaume aanze kuchepuka.
Kadri siku zinavyoenda wife anapunguza mashamsham kabisa.Frequency ya games imepungua. Si mbaya ameongezeka uzito sana but anatakiwa a-maintain kiwango.
Style ambayo anaipenda sana kwa sasa imekuwa tu ni the death of cocroach. Akibadili ni mbwa kachoka.Anaitenga tu huko juu hewani yeye analaza kichwa hapo dk 10 unamsikia anakusihi umalize game hoi.
Ukimaliza hapo basi atalala kama chura aliyekufa barabarani choka mbaya yeye hachukui dk 5 ashamaliza na anaomba nawe umalize.
Yaani kila mara ni kama unacheza game ya kirafiki au kupasha moto misuli, ukikaza kidogo anasema umepania game utadhani unacheza na team pinzani cheza kwa afya tu.Hii slogan inanikwaza sana.
Amekuwa mvivu, styles kibao kwa sasa haziwezi anazikwepa. Mimi napenda kucheza game kwa formation mbalimbali. Sometime nashambulia sana, sometime natandaza kabumbu tu kuonesha ufundi,sometime nacheza kwa kujilinda.
Kwake imekuwa kama anaongeza uvivu, hili jambo last two weeks lilisababisha nikatafute mtani wangu wa jadi tucheze mechi ya mtani jembe just imagine sababu ni wife kuzembea.
Dada zangu mkiolewa si ndo mnaacha kupiga misamba, mnaacha kubinuka mnataka wanaume tushinde magoli kwa penalty tu na mipira ya adhabu, mnatenga goli mnaacha wazi ili tushinde game iishe.
Hiyo inapunguza raha ya game, mchezo unapendeza mnaposhambuliana na kutoana jasho siyo mtu anashika sehemu ya penalty makusudi afungwe kwa penalty.
Mtu ulikuwa unazungusha kiuno kama feni mbovu sasa kiuno dk tatu tu kimegota. Raha ya sisi wanaume ni kuona tumetoa kipigo angalau mara moja kwa week mpaka K imechakaa kipigo cha paka mwizi.
But kama kila siku tunatomasana tomasana na kupapasana hii inasababisha tuombe mechi za kujipima nguvu huko nje.mimi nmechepuka ila lawama zooote zinaenda kwa mamsap amenikosea sana.
Namcheki akimaliza anavyolala kama amekufa nasema 'Hiiii" natikisa kichwa naona kama ananitega nichepuke aje aseme wanaume wabaya, hawaridhiki n.k
Kadri siku zinavyoenda wife anapunguza mashamsham kabisa.Frequency ya games imepungua. Si mbaya ameongezeka uzito sana but anatakiwa a-maintain kiwango.
Style ambayo anaipenda sana kwa sasa imekuwa tu ni the death of cocroach. Akibadili ni mbwa kachoka.Anaitenga tu huko juu hewani yeye analaza kichwa hapo dk 10 unamsikia anakusihi umalize game hoi.
Ukimaliza hapo basi atalala kama chura aliyekufa barabarani choka mbaya yeye hachukui dk 5 ashamaliza na anaomba nawe umalize.
Yaani kila mara ni kama unacheza game ya kirafiki au kupasha moto misuli, ukikaza kidogo anasema umepania game utadhani unacheza na team pinzani cheza kwa afya tu.Hii slogan inanikwaza sana.
Amekuwa mvivu, styles kibao kwa sasa haziwezi anazikwepa. Mimi napenda kucheza game kwa formation mbalimbali. Sometime nashambulia sana, sometime natandaza kabumbu tu kuonesha ufundi,sometime nacheza kwa kujilinda.
Kwake imekuwa kama anaongeza uvivu, hili jambo last two weeks lilisababisha nikatafute mtani wangu wa jadi tucheze mechi ya mtani jembe just imagine sababu ni wife kuzembea.
Dada zangu mkiolewa si ndo mnaacha kupiga misamba, mnaacha kubinuka mnataka wanaume tushinde magoli kwa penalty tu na mipira ya adhabu, mnatenga goli mnaacha wazi ili tushinde game iishe.
Hiyo inapunguza raha ya game, mchezo unapendeza mnaposhambuliana na kutoana jasho siyo mtu anashika sehemu ya penalty makusudi afungwe kwa penalty.
Mtu ulikuwa unazungusha kiuno kama feni mbovu sasa kiuno dk tatu tu kimegota. Raha ya sisi wanaume ni kuona tumetoa kipigo angalau mara moja kwa week mpaka K imechakaa kipigo cha paka mwizi.
But kama kila siku tunatomasana tomasana na kupapasana hii inasababisha tuombe mechi za kujipima nguvu huko nje.mimi nmechepuka ila lawama zooote zinaenda kwa mamsap amenikosea sana.
Namcheki akimaliza anavyolala kama amekufa nasema 'Hiiii" natikisa kichwa naona kama ananitega nichepuke aje aseme wanaume wabaya, hawaridhiki n.k