Well said, hili ni bonge la investment, kwani mataifa mengi huku Africa wanaimezea Sana mate.. Hii opportunity sio ya kuiacha wala kuipuuz
Hapa naona kuna mvutano kati ya Kikwete na mradi wake wa Bagamoyo na Wafuasi wa Mwendazake . Kikwete alishajicommit kwa WACHINA kuhusu mradi huu. Sasa chini ya uongozi wa Magufuli alikuwa hana njia ya kufanikisha azma yake juu ya mradi huo. On the other hand Magufuli had the Standard Gauge Railway as a priority!!
Is it a coincidence that Kikwete is behind this move to revive the project that Magufuli condemned? No, it is not a coincidence because Kikwete believes that he is behind the success and ascent to the presidency of President Samia Suluhu Hassan and hence now is the opportune time to have the Bagamoyo project implemented. He has assembled a team of followers including the Speaker of the National Assembly to spearhead a campaign to resurrect the Bagamoyo project.
Kama mradi wa Bagamoyo utafufuliwa kwa mkopo au njia nyingine ile nini itakuwa hatma ya Miradi mingine ya mkakati? Kikwete na genge lake nia yao ni kuona hiyo Miradi ya Magufuli haikamiliki ili kuonesha kuwa hakufanikiwa kitu katika urais wake. Je wafuasi wa Mwendazake watakubali? Je nchi iko tayari kuacha miradi inayoendelea na kuanza mingine mipya?