johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,762
Nachukua fursa hii kukubaliana na mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli kwamba kuwa wa kwanza kwenye kura za maoni siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea.
Kwa mfano Dr Kigwangalla mwaka 2010 alikuwa mshindi wa 3 lakini ndiye aliyeteuliwa kugombea.
Mwaka huu Dr Kigwangalla amegawa baiskeli kwa wapiga kura wote jimboni kwake na ni dhahiri atakuwz namba moja kwenye kura za maoni hivyo itapendeza zaidi ile kanuni iliyotumika kumuingiza bungeni itumike kumrudisha Muhimbili akatibu.
Ni vema wanaccm wakaielewa vizuri kanuni hii kwani ni silaha nzuri sana ya kupambana na rushwa.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfano Dr Kigwangalla mwaka 2010 alikuwa mshindi wa 3 lakini ndiye aliyeteuliwa kugombea.
Mwaka huu Dr Kigwangalla amegawa baiskeli kwa wapiga kura wote jimboni kwake na ni dhahiri atakuwz namba moja kwenye kura za maoni hivyo itapendeza zaidi ile kanuni iliyotumika kumuingiza bungeni itumike kumrudisha Muhimbili akatibu.
Ni vema wanaccm wakaielewa vizuri kanuni hii kwani ni silaha nzuri sana ya kupambana na rushwa.
Maendeleo hayana vyama!