Namuunga mkono Nassari kwa kauli yake kwanini kila kitu Dar sio Kigoma, Rukwa, Tanga, Mtwara, nk

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Nchi hii mie sielewi kabisa mie Dogo alikuwa sawa kabisa haiwezekani mie nizalishe sana hapa Mwadui Almasi then zikajenge fly over Dar, wa Tanga azalishe chai akajenge bandari Dar, Kidatu nizalishe umeme ukawashe Dar mie nipo gizani. Bunge lipo Dodoma wizara zipo Dar, mbunge wangu wa Bumburi ofisi zake ziko Dar nk nk..........

Kwa nini kila kitu Dar es salaam sie mnaotuita wa mikoani tumelaaniwa????

Ni bora utoe shukrani kwa kuniachia hata nusu niendelee vyote mnapeleka Dar.

Nasaari kaona bora tubaki navyo tuone tatizo ni nini sisi wananchi au kuna mchwa anatafuna hapa katikati
 
Hata rais akitaka kuongea na wazee!! anaongea na wazee wa dar es salaam, ina maana singida hakuna wazee? lini wazee wa ntwara wataongea ana kwa ana na rais wao. ccm hawasemi bali wanatekeleza ubaguzi huu kwa vitendo.
 
Mi nadhani wanaojenga fly overs Dar ni wale wanaovuna kutoka mikoani. Baada ya kuvuna michai chai yao na kuuza wanahamia Dar.
Dogo aliteleza kidogo baada ya kuudhiwa na ccm kwa kuwaua watu wake, na kuwanyang'anya wananchi ardhi wakazawadia wazungu watumie kuchezea farasi.
What I believe is that Dogo has learnt something right from the point.
 
Napia nakubaliana na mawazo ya huyu bro..Nassari sio kwamba hayo amneno yametoka hewani ni njonzi anazozisema Mh. membe unajua kuna mambo unasikia ukiwa umelala sasa dogo alisikia kuna sauti inayomambia bora kujitenga maana shv sio utani kuna upendeleo wa waziwazi kabisa hilo halina ubishi ..ubaguzi unaosemwa unaoneshwa dhahiri na serikali hivi kweli kwa mfano mdogo tuu inakuwaje maige anatoswa anaingizwa Jr. makamba ukoo mzima ni mafisadi na hakuna asiyejua hilo...inakuwaje mtu aliyesanbabisha mabomu mbagala na gongo la mboto anarudishwa kwenye baraz allafu mnasema kuna usawa watu wa kaskazini tunatoswa kila siku na kupakiziwa mabaya ahaha hii legue mmeanzisha imeanzishwa na CCM wanyewe..utasikia...,nape.., malechela..,Mwinyi..,makamba...,kolimba,utasikia mongela...,utasikia Gama...sijui guninita sijui nani majina ya vigogo vichanga tuu ndio wanapewa madaraka hiyo sio ubaguziii...TUWE WAKEWELI BANA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom