Namuunga mkono Mbunge Tabasamu. Bunge ni mahala pa majadiliano kwa ajili ya maendeleo ya ya wananchi na siyo mahali pa kuleta mzaha

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Jana baada ya kipindi cha maswali kuna Mhe. Mbunge moja alisimama na kutoa hoja kuwa ana malalamiko dhidi ya Mhe. Tabasamu kwa kumsema vibaya juu ya hoja yake inayohusu pombe za kienyeji. Mimi ninamuunga Mhe. Tabasamu kwa asilimia 100.

Bunge ni mahala pa majadiliano kwa ajili ya maendeleo ya ya wananchi na siyo mahali pa kuleta mzaha mzaha kwa ajili ya kuingiza chupa za pombe.

Mimi ndiyo nilimshangaaa sana yule Mhe. Mbunge Mama analeta chupa ya pombe Bungeni?. Mhe. Spika unatakiwa kukemea vitendo kama vile.

Mko pale kwa ajili ya kujadili masuala ya maendeleo. Nashauri yule Mbunge aliyeleta chupa ya pombe Bungeni apelekwe kwenye Kamati ya maadili na afukuzwe na kutohudhuria vikao vitano.
 
Jana baada ya kipindi cha maswali kuna Mhe. Mbunge moja alisimama na kutoa hoja kuwa ana malalamiko dhidi ya Mhe. Tabasamu kwa kumsema vibaya juu ya hoja yake inayohusu pombe za kienyeji. Mimi ninamuunga Mhe. Tabasamu kwa asilimia 100. Bunge ni mahala pa majadiliano kwa ajili ya maendeleo ya ya wananchi na siyo mahali pa kuleta mzaha mzaha kwa ajili ya kuingiza chupa za pombe. Mimi ndiyo nilimshangaaa sana yule Mhe. Mbunge Mama analeta chupa ya pombe Bungeni?. Mhe. Spika unatakiwa kukemea vitendo kama vile. Mko pale kwa ajili ya kujadili masuala ya maendeleo. Nashauri yule Mbunge aliyeleta chupa ya pombe Bungeni apelekwe kwenye Kamati ya maadili na afukuzwe na kutohudhuria vikao vitano.
Pombe ni maendeleo makubwa tu, ni vile hujui tu serikali kwa mwaka inakusanya pesa kiasi gani kutoka kwenye vileo.

Upeo wako ni mdogo sana.
 
Jana baada ya kipindi cha maswali kuna Mhe. Mbunge moja alisimama na kutoa hoja kuwa ana malalamiko dhidi ya Mhe. Tabasamu kwa kumsema vibaya juu ya hoja yake inayohusu pombe za kienyeji. Mimi ninamuunga Mhe. Tabasamu kwa asilimia 100. Bunge ni mahala pa majadiliano kwa ajili ya maendeleo ya ya wananchi na siyo mahali pa kuleta mzaha mzaha kwa ajili ya kuingiza chupa za pombe. Mimi ndiyo nilimshangaaa sana yule Mhe. Mbunge Mama analeta chupa ya pombe Bungeni?. Mhe. Spika unatakiwa kukemea vitendo kama vile. Mko pale kwa ajili ya kujadili masuala ya maendeleo. Nashauri yule Mbunge aliyeleta chupa ya pombe Bungeni apelekwe kwenye Kamati ya maadili na afukuzwe na kutohudhuria vikao vitano.
Una mfumo dume.
Hujielewi, huyo mbunge alileta hivyo vielelezo ili aeleweke.
Anachopigania ni bidhaa za walala hoi ziboreshwe ili ziuzwe kihalali.

Tukubali tukae gongo inatengenezwa na ina wateja.
Na ni ukweli uliowazi kuwa ina madhara.
Kilio chake wananchi wapewe elimu sahihi namna ya kuiandaa ili itumiwe kihalali kama pombe za nchi zingine alizotolea mfano.
 
Wabunge wa viti maalim sijui kwa nini akili zao zinafanana hakuna hata mmoja anayeongea point akisimama.
 
Tabasamu ana elimu gani?? Nimemsikiliza hoja zake nimeona kama punguani,kwan nani kasema bungen hujadiliwa hoja moja tu?? Kama yy ameona cha msingi ni bei mwenzie anapigania maslah ya biashara za maelfu watanzania wenzie wanaolisha familia kwa pombe za kienywji,anataka wote wawe wanawaza kitu kimoja?? Haitokuwa na maana ya bunge sasa,kila mtu apeleke mawazo yake
 
Back
Top Bottom