publito
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 551
- 616
Swali zuuuuri sanaNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Swali zuuuuri sanaNajua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Tetehnaskia mvivu sana na hajui hata kupika
'mashine ya kusaga na kukoboa'.Ngoja waje wakupe historia yake ya kuwa na wamama wenzake ndio.ujipime
Hivi mlima ni kinyume cha mteremko, sio mpando? Kinyume cha mlima sio bonde? Kwani hata kwenye bonde kuna mteremko na mpando.Najua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Najua unamaanisha mteremko. Lakini nina swali; hivi pale kitonga mnaonaga mteremko tu hakuna mlima?
Nani mkubwa kati yeye na huyo nduguye wa kiume?Usidhani ana 20s au 30s