Namuulizia Regina Mengi je ameolewa?

Habari wana jukwaa
Leo naomba nimuulize huyu bibie regina mengi...Jee ameolewa?jee ana watoto...hali ya mahusiano jee....

Kwa mnaomjua tafadhali huyu bibie ni mpole sana anavyoonekana mstaarab na muungwana pia...
Picha plz
 
Habari wana jukwaa
Leo naomba nimuulize huyu bibie regina mengi...Jee ameolewa?jee ana watoto...hali ya mahusiano jee....

Kwa mnaomjua tafadhali huyu bibie ni mpole sana anavyoonekana mstaarab na muungwana pia...
Hajaolewa ila anakula wenziwe
 
Regina huyo
FB_IMG_15576811721893491.jpg
 
Tuache kuficha ficha hata Kama kuna ban kiufupi Regina ni Msagaji na Ameoa na kuishi na Mwanamke mwenzake.

Pía Abdiel Mengi yeye pía hajaoa, ni mla bata kama lemutuz. Ila ni kijana smart sana. Thats why mzee ilibidi atafute watoto wawili wa kiume kwa gharama kubwa sana ili waje kuendeleza malí zake.
Wale pacha walipangwa kabisa, sikuhizi kuna dawa zinauzwa marekani dola 50000 anakunywa demu ukimpa mimba anazaa mapacha, Yani zinadondosha mayai mawili wakati wa ovulation
Upo sahihi Regina ni msagaji, alikuwa anasagana na Dada mmoja pale kibo , ni rafiki yake sana yule Dada. Kwao walipiga kelele kuhusu usagaji hadi wakachoka, yule Dada msagaji mwenzake na Regina alikuja kuotewa mimba akazaa mtoto mmoja hadi Leo, ni rafik yake kipenzi
 
Huenda ikawa ila masuala ya kusikia mkuu kibongo bongo aiseee!
Watu wanaweza kukutungia jambo la uongo mpaka likwanogea kabisa
Sio kusikia mm Nina mdada ni ndugu yangu mbali kidogo, ni rafiki WA Regina hadi kwenye msiba wa baba WA huyo Dada, Regina alienda hadi kijijini huko njombe, wote walikuwa wasagaji ,baba mkubwa alipiga kelele sana kuhusu usagaji WA huyo Dada yetu na Regina ,wapi, hakusikia, na hadi Regina na huyu Dada walikuwa wote wanafanya biashara ya kuuza mabomba ya sindano za hospitali,mtaji walipewa na Dr.Mengi.
 
Sio kusikia mm Nina mdada ni ndugu yangu mbali kidogo, ni rafiki WA Regina hadi kwenye msiba wa baba WA huyo Dada, Regina alienda hadi kijijini huko njombe, wote walikuwa wasagaji ,baba mkubwa alipiga kelele sana kuhusu usagaji WA huyo Dada yetu na Regina ,wapi, hakusikia, na hadi Regina na huyu Dada walikuwa wote wanafanya biashara ya kuuza mabomba ya sindano za hospitali,mtaji walipewa na Dr.Mengi.
😂😂😂😂aiseee 🙌🙌🙌🙌🙌 hii ni hatari
 
Back
Top Bottom