Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Amini usiamini afande Tibaigana ni Suka anasanya route ya Muleba - Biharamuro na kigari chake aina ya NOAH. Nimeshuhudia mwenyewe ila kidogo inamwia vigumu pale akiingia kituoni/standi kwani anampa konda. Jk ndo tuseme Polisi unawaruhusu waporomoke na ni funzo lipi kwa jamii ya kipolisi, sio huyu tu!!!