Jf wasalaam
Hivi mmewai kujiuliza inakuaje ukikuta dada yako kabanwa chobingo na msela/ mshikaji anampiga mistari, unahisi pumzi zimekata ndani na hali flani ya kumind mshikaji gafla inajitokeza???
Ila sisi tukiwa tunafukuzia dada za watu tunaona sawa tu, wakati mwingine tunakosa hata adabu kwa shemeji zetu.
Wenye madada leteni uzoefu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mmewai kujiuliza inakuaje ukikuta dada yako kabanwa chobingo na msela/ mshikaji anampiga mistari, unahisi pumzi zimekata ndani na hali flani ya kumind mshikaji gafla inajitokeza???
Ila sisi tukiwa tunafukuzia dada za watu tunaona sawa tu, wakati mwingine tunakosa hata adabu kwa shemeji zetu.
Wenye madada leteni uzoefu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app