Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,350
- 4,485
Jamani huyu mtoto si kavunja ungo tu hata process za ukuaji bado, majamaa kama kuparamia wanafunzi hii ni too much sasa. Hata nyonga ile inayompata msichana akivunia ungo hata awe mwembamba, huyu binti hana. Mwacheni akaonje jela huyo fala, huyo mtoto yupo ndani ya process ya kuvunja ungo.