Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,069
- 3,705
Hapo vip!!
Binafsi nikiangalia huko na kule ndani ya CCM sioni kiongozi mwenye sifa ya kumzidi Lowassa mpaka sasa.
Ni wazi watanzania bado tuna kiu na Lowassa atawale nchi hii. Wengine watasema mara ooh ni mzee. Kama hoja yao ina ukweli mbona Marekani ambayo ni taifa lililoendelea duniani na linawasomi na watu wenye IQ kubwa duniani limewachagua wazee wakubwa kuliko hata Lowassa wakatawala taifa hilo?
Mfano Donald Trump na Joe Biden ni wazee kuliko hata Lowassa.
#Tunamuhitaji Lowassa#
Binafsi nikiangalia huko na kule ndani ya CCM sioni kiongozi mwenye sifa ya kumzidi Lowassa mpaka sasa.
Ni wazi watanzania bado tuna kiu na Lowassa atawale nchi hii. Wengine watasema mara ooh ni mzee. Kama hoja yao ina ukweli mbona Marekani ambayo ni taifa lililoendelea duniani na linawasomi na watu wenye IQ kubwa duniani limewachagua wazee wakubwa kuliko hata Lowassa wakatawala taifa hilo?
Mfano Donald Trump na Joe Biden ni wazee kuliko hata Lowassa.
#Tunamuhitaji Lowassa#