Namuona Edgar Devis kwenye damu ya Pappy Tshishimbi

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,224
15,078
Hakuna aliyekuwa na chembe ya shaka baada ya kukamilika kwa mtanange wa ngao ya hisani kuhusu Pappy.

Man of the Match Mkongomani Pappy Kabamba Tshishimbi anaonekana kuwa na damu yenye vina saba na mchezaji wa Taifa la Holand Edgar Davis.

Tutegemee tuzo ya mchezaji bora wa kigeni msimu wa 2017/18 kutua mikononi mwa Pappy K. Tshishimbi.
Huyu Jamaa anafanya kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na wachezaji wawili wa msimu uliopita yaani (Niyonzima + Zullu).

Nisiongee sana ngoja nitafakari jinsi Dogo Gadiel MICHAEL alivyomuweka mfukoni Emmanuel A. Okwi.
 
Daaaaah... kuna jamaa alisema ni DHAMBI kufananisha KIPAPLIPAPLI na FURSANA....

Umesema nani na Edgar Davis???
 
Hakuna aliyekuwa na chembe ya shaka baada ya kukamilika kwa mtanange wa ngao ya hisani kuhusu Pappy.

Man of the Match Mkongomani Pappy Kabamba Tshishimbi anaonekana kuwa na damu yenye vina saba na mchezaji wa Taifa la Holand Edgar Davis.

Tutegemee tuzo ya mchezaji bora wa kigeni msimu wa 2017/18 kutua mikononi mwa Pappy K. Tshishimbi.
Huyu Jamaa anafanya kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na wachezaji wawili wa msimu uliopita yaani (Niyonzima + Zullu).

Nisiongee sana ngoja nitafakari jinsi Dogo Gadiel MICHAEL alivyomuweka mfukoni Emmanuel A. Okwi.


Mkubwa jaribu kuwa serious kidogo,acha kumfananisha mwanadamu na msukule,kumfananisha Davis na Shishibaby ni dharau zilizopitiliza matokeo ya kipimo cha mkojo!
 
Mkubwa jaribu kuwa serious kidogo,acha kumfananisha mwanadamu na msukule,kumfananisha Davis na Shishibaby ni dharau zilizopitiliza matokeo ya kipimo cha mkojo!

Samahani lakini.

Najua ni ngumu kumeza kama "Muwa wa Chuma" leo Kikosi cha Bilion 1.3 kimezuiwa kufungwa na mtu mmoja pale kati a.k.a Shishi Babe kama mnavyopenda kumuitaga.
 
Yule jamaa anaujua mpira, kwa miaka mingi katika Ligi Kuu ya TZ (VPL) sijamwona mchezaji mwenye kiwango kikubwa kama Tshishimbi. Bahati mbaya yake tu umri umesogea, sijui alichelewa wapi, hastahili kucheza ligi hii.


Dah umeona ehhh? naona kama tumewaibia wale wa swaziland. Ukizingatia jamaa katua bure, halafu Niyonzima ameigharimu MKIA FC zaidi ya Milioni 124 za Kitanzania.
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom