Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

Nitamuombea sasa hivi zamu ya MAMA SAMIA, zam zam sina ninayemchukia MKUU
Hujaandika hiki kwa Tundu Lissu na yupo gerezani zaidi ya mwaka sasa. Samia amesafiri jana tu unaleta unafiki wako hapa!!
 
Hujaandika hiki kwa Tundu Lissu na yupo gerezani zaidi ya mwaka sasa. Samia amesafiri jana tu unaleta unafiki wako hapa!!
Kila kitu kina mda wake, uwepo online kuanzia sasa mchana mpaka jioni nitapandisha uzi kumuhusu TAL
 
Chei chei
Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu

Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania

Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na namuomba amuongezee nguvu maradufu

Maneno na chuki nyingi za kumrusisha nyuma mara maneno ya hapa na pale lakini siku zote M/Mungu ndio mshindi

Amjaalie arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida..

Chuki inaanza kukuumiza wewe kwanza na hata upendo ukimpenda mtu wewe utajipenda/kupendwa mara dufu

Ukimuombea dua mwenzako M/Mungu anaanza kukupa wewe kwanza

Taifa bila MAMA HAIWEZEKANI
Saf san tumeona juhudi zako... Kesho fika ofis ndogo Lumumba uchukue elfu saba yako!! Endeleza juhudi
 
Chei chei
Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu

Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania

Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na namuomba amuongezee nguvu maradufu

Maneno na chuki nyingi za kumrusisha nyuma mara maneno ya hapa na pale lakini siku zote M/Mungu ndio mshindi

Amjaalie arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida..

Chuki inaanza kukuumiza wewe kwanza na hata upendo ukimpenda mtu wewe utajipenda/kupendwa mara dufu

Ukimuombea dua mwenzako M/Mungu anaanza kukupa wewe kwanza

Taifa bila MAMA HAIWEZEKANI
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Hapana mimi sio mnafiki.
Mimi namuombea mabaya kama Ajali, kutekwa, kesi, kifo nk.
 
Back
Top Bottom