johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,833
Ni lini Lowassa alikuwa mfuasi wa UKAWA hadi akapewa nafasi ya kugombea urais na kuwatema Dr Slaa na Prof Lipumba.?
Mambo kama haya ndio huwafanya watu makini kuvipuuza vyama vinavyojiita vya upinzani na kuviona vinatucheleweshea maendeleo.
Niishie hapo!
Mambo kama haya ndio huwafanya watu makini kuvipuuza vyama vinavyojiita vya upinzani na kuviona vinatucheleweshea maendeleo.
Niishie hapo!