Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
Wewe na mwenzio mmelaaniwa kuliko watu wote duniani
maswali mengine hayafai hata kuuliza.utafikiri,umepungukiwa na akili.
Kijana popote pale ulipo ebu piga magoti nikuongoze sala ya toba kwanza,
Unaweza sababisha nikamrudisha kijiji yule mdogo wangu ninaekaa nae sababu yako.
Duh! hii balaa..kwa akili yangu mimi huwa nadhani ushauri unaombwa kwa vitu ambavyo vina majibu ya kutatiza!
Sasa hili la kwako mbona liko 'naked' ..any way ngoja mie nikushauri... tembea naye na ili kunogesha penzi lenu hakikisha unamhamisha kwa bro wako..na ili mapenzi yawe ya moto moto wasitue wazazi wenu kama wapo hai kwamba unammega shem wako!..hope ukizingatia haya, mapenzi yenu yatanoga kinoma!...ahsante!
Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
dah! ahsante sana father x-mas kumbe anyetaka kushtaki ni shemeji.
But ukweli unabaki palepale kuwa huyu dogo ndo mwenye matatizo so aondoke tu manake siku ya mwisho nanga lzima ipae tu.
Arvin sloane fanya hivi bonyeza button ya shift na namba 2 ili uweke ile alama ya @ kisha andika jina la muhusika pasi kuacha nafasi ila liandike kwa usahihi kabisa bila kukosea spelling za jina husika. usiache nafasi kati ya @ na jina husika., na kama jina lenyewe lina space in between kama lilivyo la kwako basi acha iyo nafasi, hapa namaanisha aina ya uandish wa jina husika lazima uufuate na pia speliing za jina husika.Nielekeze jinsi ya Ku-mention mtu ili aone kwenye notification kwenye Pc.
Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?
Kakangu mkubwa anamke wake wa ndoa na wamebahatika kupata watoto wa 3 kutokana na ukaribu nilionao na shemeji(mke wa broo) nimeanza kumtamani kimapenzi mpaka na yy ameshagundua hisia zangu kwake na yy ameanza kunifanyia vituko vya kuniashiria kuwa naye yupo tayari kusex na mimi bt me napiga moyo konde kula mali ya broo na nina wasiwasi kuwa shem huenda vituko anavyonifanyia ananitega tu hapendi nisex naye na je akimwambia broo what wil happen!! Nipeni ushauri nifanye je?