We kaka vipi? Ndio sasa wachumba wote kawakataa, kawaona hawamfai, umenipata hapo? mbona wagumu kuelewa nyie? Je kwani mtu hauwezi kukataa hiki kama haukitaki na ukatafuta kingine? Mbona nyie waswaili wengine hamna kitu kuelewa kichwani mwenu. Yaani kumuunderstand kwanini kakataa hiki na anataka kingineiiii. sawa????????Hata nguo unaweza kuziacha hizi ukaenda kununua zile, ni upendeleo wa mtu. Hapo sasa kama akili zako timamu utaelewa bila kuelezwa kama, hizi hakuzitaka anazitaka zile. Labda nyie wanaume hamchagui mnachukua mnachokipata, au sio? Mchumba akitokea yeyote ule, mnazoa tu ka? mnachekesha sana. Au nyie wanaume ubongo wenu mgumu kuelewa?
Vile vile elewa mdogo wangu hajaniambia nimsaidie kutafuta mchumba, hapa naona wewe mwenyewe umechanganya mambo. Yeye kaniambia tu nimsaidie kimaisha, ila mie ndio nimefikiria labda ni bora tu aolewe, maana mie siwezi kumsaidia daima. Sababu hata mie nilipo ona maisha siyawezi peke yangu nikamua kuolewa ili nisaidiane kimawazo na mwenzangu. Uislam ukuwadi ndio jadi yetu,, sio uislam tu hata wazazi utafutia watoto wao wachumba hivi ulikuwa haujui eh? mbona watu wengi tu wanaolewa ki hivi na wanadumu daima, we kaka vipi umechanganyikiwa? wa wapi wewe?
Kwa maelezo yake wala sishauri amchukue huyo binti, anaweza mgeuza mtaji. Sikuwa nikijua kama kuna wanawake wenye akili mgando kiasi hicho mpaka leo. Hivi anadhani huyo mdogo wake ni mlemavu wa akili hata aweze kukataa hao wanaume wengine? Na je alimwambia amtafutie mume? Tena hata Mama yake tayari hamwamini. Eti anashindwa kumfungulia hata salon!!! kweli unaishi huko ulipo na kumpa ndugu yako mtaji wa salon ni tabu, school fees utaweza? Mshauri aje kwangu anitunzie watot nitamsaidia kuliko wewe.Kwa nini usimchukue ukamuendeleza kielimu kwanza huko kisha akajitafutia mwenyewe mchumba kama atataka?
Miaka 22 ni mtu mzima na anatakiwa aweze kujiamulia mambo yake au hataweza hata huko kwa mume
Kwa maelezo yake wala sishauri amchukue huyo binti, anaweza mgeuza mtaji. Sikuwa nikijua kama kuna wanawake wenye akili mgando kiasi hicho mpaka leo. Hivi anadhani huyo mdogo wake ni mlemavu wa akili hata aweze kukataa hao wanaume wengine? Na je alimwambia amtafutie mume? Tena hata Mama yake tayari hamwamini. Eti anashindwa kumfungulia hata salon!!! kweli unaishi huko ulipo na kumpa ndugu yako mtaji wa salon ni tabu, school fees utaweza? Mshauri aje kwangu anitunzie watot nitamsaidia kuliko wewe.
mambo ya kutafutiana wachumba na baadae je kukulaumu wewe mmh pole haya mambo ya isingekuwa dada yote haya yasingenipata.
Kwani yeye hawezi kuwa na maamuzi binafsi miaka 22?:hungry:
Kwani wewe wa wapi??? Nadhani wewe ndo UMECHANGANYIKIWA kuleta mdogo wako hapa umtafutie mchumba . . . kama ubongo wa wanaume mgumu kuelewa ungesema unamtafutia mwanaume?? Wewe si ndo unamleta hapa mdogo wako azoe yeyote tu?!! Angalia . . .
Nazani akiolewa atashauriwa na mumewe wafanyaje maishani. Mie nimemshauri asome anasema hawezi, kuna wasichana wengine walio lelewa mazingira ya kuolewa, shule hawaioni muhim sister. Na akipata matatizo ktk ndoa mtamsaidia, sito muhacha motoni aise
Pengine alitegemea alimleta hapa ndo atapata soko kwa wingi . . . yaani hajui anachofanya kinaweza kutafsiliwa kama kumuuza mtu, hasa anaposema "Yeye kaniambia tu nimsaidie kimaisha, ila mie ndio nimefikiria labda ni bora tu aolewe" Yaan kwa akili yake anaamini njia moja wapo kumsaidia mdogo wake ni kumtafutia mwanaume ????!!!! Na hapo ktk kauli yake utagundua hata mhusika mwenyewe hajui kama anatafutiwa mwanaume????!!!!
Kwa maelezo yake wala sishauri amchukue huyo binti, anaweza mgeuza mtaji. Sikuwa nikijua kama kuna wanawake wenye akili mgando kiasi hicho mpaka leo. Hivi anadhani huyo mdogo wake ni mlemavu wa akili hata aweze kukataa hao wanaume wengine? Na je alimwambia amtafutie mume? Tena hata Mama yake tayari hamwamini. Eti anashindwa kumfungulia hata salon!!! kweli unaishi huko ulipo na kumpa ndugu yako mtaji wa salon ni tabu, school fees utaweza? Mshauri aje kwangu anitunzie watot nitamsaidia kuliko wewe.
Hebu tuwasiliane mm naweza kuwa msaada mkubwa sana kwa mdogo wako