Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

Simba ya jana!😄😄😄
View attachment 1786303
View attachment 1786568
20210515211437.jpg
 
Asante sana Mkuu nimezipokea na nawaomba wale walionitukana na kunidhihaki baada ya kutoa Angalizo langu kuhusu Ubora uliofichika ( uliofichwa ) wa Klabu kubwa na nzuri ya Kaizer Chiefs FC ( Amakhosi ) waendelee tu ila nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu nakijua Mimi ambacho wao hakuwabariki nacho.
Mzee Genta kukaa nje ya tasnia (uchambuzi) haimaanishi huifahamu tasnia. Kongole kwako kwa maoni yako ndani ya huu uzi. Walikushambulia sana lakini muda umesema!!
 
Kwa kuwafuatilia Kwangu kwa Jicho la Kiufundi naliomba Benchi la Ufundi la Simba SC lifanye Maandalizi makubwa ikiwezekana hata kuliko yale waliyoyafanya ilipocheza na Al Ahly hapa Dar es Salaam.

Wana Winga zao ( Viberenge ) Wawili ambao nina uhakika Siku hiyo akina Kapombe na Tshabalala wajipange kweli kweli kwani 'Jamaa' wanateleza na Chaki hadi hatari.

Wana 'Mido' yao moja hiyo ni 'Fundi' hasa hata huyu Chama wetu anasubiri na anajua kusambaza mipira huku akiichezesha vyema Timu yake vile atakavyo.

Wana 'Hitman' wao Mmoja huyu Yeye katika mipira ya Krosi Mitano Mitatu lazima akuumize na ana uwezo kwa Kukunjuka kwa Kupiga Miwa ( Mashuti ) ya maana kokote pale na ikawa imo.

Hata hivyo Udhaifu wao mkubwa upo sana katika Beki zao za Kati na Beki wao wa Kushoto ambao kama Simba SC itayatumia vyema haya Mapungufu tunaweza Kufanikiwa.

Simba SC tunajisifu kwa Kucheza Pira Biriani ( Mpira Burudani ) ila kwa hawa Kaizer Chiefs FC huu sasa ndiyo Mchezo wao na wakati huku Tanzania tukimsifia Bernard Morrison kwa kuwa na 'Udambwidambwi' huko Kaizer Chiefs FC karibia Wachezaji wao wote ndiyo Mabingwa wa hii tena hasa pale wakiwa wanaongoza.

Ni kweli kwa miaka ya karibuni Kaizer Chiefs FC haijafanya vyema kivile ila tusijisahau kuwa Ligi ya Afrika Kusini ( PSL ) ni Kubwa na inaizidi yetu ya VPL tena kwa mbali mno hivyo hata Kiviwango wapo juu na hili tusilibishie kwani ndiyo Ukweli wenyewe.

Wakati huku Simba SC yetu tunaambiwa Mchezaji anayeoongoza kwa Kuchukua Mshahara mkubwa ni Bernard Morrison 11,000 USD ila katika Klabu ya Kaizer Chiefs Mshahara wa chini ( mwisho ) wa Mchezaji wao nimedokezwa ni 39,000 USD.

Na tukumbuke kuwa Ligi Kuu ya Afrika Kusini ( PSL ) ni miongoni mwa Ligi 'ghali' sana Duniani ndiyo maana hata Wachezaji wao wengi wakitakiwa na Vilabu vikubwa vya Nje huwa hawataki kwenda na wengi Wao husema kama ni Pesa nyingi hata Kwao Afrika Kusini katika Ligi Kuu yao huwa wanalipwa vile vile.

GENTAMYCINE sijaanzisha huu Uzi ili Kuwatisha Simba SC ( ambayo Mimi pia ni Shabiki wake ) ila nimeona nitahadharishe hili mapema tusije kuendelea 'Kudanganyana' halafu tukipata 'Vipigo' mfululizo Johannesburg ( Jozy au Gauteng ) na Dar es Salaam ( Bongo ) tukaanza kutafuta 'Mchawi' wakati ukweli ni kwamba Kudharau, Kubweteka na Kujiamini Kwetu kupitiliza ndizo zitakuwa sababu Kuu.

Yangu ni haya tu kwa hii leo akhsanteni.
Mbabe kapatikana bondeni

CE215551-13D0-46C7-801D-666510F0B61B.jpeg
 
Asante sana Mkuu nimezipokea na nawaomba wale walionitukana na kunidhihaki baada ya kutoa Angalizo langu kuhusu Ubora uliofichika ( uliofichwa ) wa Klabu kubwa na nzuri ya Kaizer Chiefs FC ( Amakhosi ) waendelee tu ila nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu nakijua Mimi ambacho wao hakuwabariki nacho.
Mkuu ungekua mtu wa betting leo ungempiga mhindi mpaka angejuta 🤣
 
Kwa kuwafuatilia Kwangu kwa Jicho la Kiufundi naliomba Benchi la Ufundi la Simba SC lifanye Maandalizi makubwa ikiwezekana hata kuliko yale waliyoyafanya ilipocheza na Al Ahly hapa Dar es Salaam.

Wana Winga zao ( Viberenge ) Wawili ambao nina uhakika Siku hiyo akina Kapombe na Tshabalala wajipange kweli kweli kwani 'Jamaa' wanateleza na Chaki hadi hatari.

Wana 'Mido' yao moja hiyo ni 'Fundi' hasa hata huyu Chama wetu anasubiri na anajua kusambaza mipira huku akiichezesha vyema Timu yake vile atakavyo.

Wana 'Hitman' wao Mmoja huyu Yeye katika mipira ya Krosi Mitano Mitatu lazima akuumize na ana uwezo kwa Kukunjuka kwa Kupiga Miwa ( Mashuti ) ya maana kokote pale na ikawa imo.

Hata hivyo Udhaifu wao mkubwa upo sana katika Beki zao za Kati na Beki wao wa Kushoto ambao kama Simba SC itayatumia vyema haya Mapungufu tunaweza Kufanikiwa.

Simba SC tunajisifu kwa Kucheza Pira Biriani ( Mpira Burudani ) ila kwa hawa Kaizer Chiefs FC huu sasa ndiyo Mchezo wao na wakati huku Tanzania tukimsifia Bernard Morrison kwa kuwa na 'Udambwidambwi' huko Kaizer Chiefs FC karibia Wachezaji wao wote ndiyo Mabingwa wa hii tena hasa pale wakiwa wanaongoza.

Ni kweli kwa miaka ya karibuni Kaizer Chiefs FC haijafanya vyema kivile ila tusijisahau kuwa Ligi ya Afrika Kusini ( PSL ) ni Kubwa na inaizidi yetu ya VPL tena kwa mbali mno hivyo hata Kiviwango wapo juu na hili tusilibishie kwani ndiyo Ukweli wenyewe.

Wakati huku Simba SC yetu tunaambiwa Mchezaji anayeoongoza kwa Kuchukua Mshahara mkubwa ni Bernard Morrison 11,000 USD ila katika Klabu ya Kaizer Chiefs Mshahara wa chini ( mwisho ) wa Mchezaji wao nimedokezwa ni 39,000 USD.

Na tukumbuke kuwa Ligi Kuu ya Afrika Kusini ( PSL ) ni miongoni mwa Ligi 'ghali' sana Duniani ndiyo maana hata Wachezaji wao wengi wakitakiwa na Vilabu vikubwa vya Nje huwa hawataki kwenda na wengi Wao husema kama ni Pesa nyingi hata Kwao Afrika Kusini katika Ligi Kuu yao huwa wanalipwa vile vile.

GENTAMYCINE sijaanzisha huu Uzi ili Kuwatisha Simba SC ( ambayo Mimi pia ni Shabiki wake ) ila nimeona nitahadharishe hili mapema tusije kuendelea 'Kudanganyana' halafu tukipata 'Vipigo' mfululizo Johannesburg ( Jozy au Gauteng ) na Dar es Salaam ( Bongo ) tukaanza kutafuta 'Mchawi' wakati ukweli ni kwamba Kudharau, Kubweteka na Kujiamini Kwetu kupitiliza ndizo zitakuwa sababu Kuu.

Yangu ni haya tu kwa hii leo akhsanteni.
4GB
 
Sawa...tusubiri matokeo ndipo tujue ukweli wa hoja yako
Muhimu kujipa matumaini. Ila tuwe honest. Tutashinda Tanzania, lakini hii timu ina uwezo wa kupata walau goal moja wakiwa Tanzania. Je, tunaweza wafunga magoli matano na zaidi? Mlima mrefu.
 
Utopolo wanakosa furaha kwenye timu yao wanatafuta furaha kwenye timu nyingine
Acha ( Acheni ) Watucheke tu kwani tumefungwa Kipumbavu sana na Complacency kwa Wachezaji wetu imetugharimu na bado tunapenda Kuishi Kienyeji Kienyeji ( Kimazoea ) wakati Mpira wa sasa duniani umebadilika mno na ni wa Kisayansi zaidi kuliko Wetu wa kuamini tu Uchawi na Fitna za nje ya Uwanja ( hasa ile ya Kuwapulizia ) Wapinzani 4-4-2 Vyumbani mwao. Tubadilike!!
 
Back
Top Bottom