Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka mkumbushiane enzi zenu!
Wadau namtafuta rafiki yangu kwa jina la Mariam Feruzi tulipotezana mwaka 2002 baada ya kuhitimu elimu ya sekondari Forest Hill morogoro. Alikuwa anakaa maeneo ya kabla hujafika baa ya kambarage ukiwa unatoka sokoni upande wa kushoto, kulikuwa na duka la samaki. Tafadhali mwenye mawasiliano au habari zake zozote naomba anifahamishe ntampataje, NI MUHIMU SANA.
mpigie twaha juma sasa hivi
Mnataka mkumbushiane enzi zenu!
Mkuu ni kibiashara zaidi, sio mapenzi.
Ahahaha, na kweli nina shida nae wadau[Taratibu mkuu Sniper, asije akawa mke wa mtu sasahivi ukaja anzisha mtafaruku kwenye nyumba ya watu baba...]