Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Wadau wa JF,
Naomba yeyote anayefahamu Mwalimu Rukia Ngadala anaweza kupatikana vipi ani PM na kunielekeza jinsi ya kumpata au hata kunipatia namba yake. Nina habari za manufaa kwake lakini nimeshindwa jinsi ya kumpata. Mara ya mwisho kuwasiliana naye alikuwa anafundisha Kibasila Secondary kabla ya kuhamia Tanga. Kwa sasa sijui huko Tanga anafundisha shule gani.
Natanguliza shukrani.
Tiba
Naomba yeyote anayefahamu Mwalimu Rukia Ngadala anaweza kupatikana vipi ani PM na kunielekeza jinsi ya kumpata au hata kunipatia namba yake. Nina habari za manufaa kwake lakini nimeshindwa jinsi ya kumpata. Mara ya mwisho kuwasiliana naye alikuwa anafundisha Kibasila Secondary kabla ya kuhamia Tanga. Kwa sasa sijui huko Tanga anafundisha shule gani.
Natanguliza shukrani.
Tiba