mmmhh waweza kuhisi ni utani ila hii ndio hali halisi dk kadhaa zilizopita
nimeona matangazo ya BANGO ...MAMA AITWAE VALERIAN KABUJE
anatangaza kupotelewa na mumewe alietoweka nyumbani kwao mwaka 2005
kwa kumwacha akiwa na mimba na watoto 4..mumewe anaitwa....Gkabuje
Huuuuuu natumaini ajaenda kwa nyumba ndogo maana dar nayo ina mambo yao!!!
nimeona matangazo ya BANGO ...MAMA AITWAE VALERIAN KABUJE
anatangaza kupotelewa na mumewe alietoweka nyumbani kwao mwaka 2005
kwa kumwacha akiwa na mimba na watoto 4..mumewe anaitwa....Gkabuje
Huuuuuu natumaini ajaenda kwa nyumba ndogo maana dar nayo ina mambo yao!!!