The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 4,984
- 7,932
Mimi ni kijana miaka 25
nahitaji mwanamke tuwe kwenye unyumba baadaye, sasa iwe ni kuishi urafiki tu.
Nina project nafanya ningependa anijoin kama yuko na muda au hana lakufanya kwa sasa, au kama atavutiwa nayo.
Sifa zake ziwe
1. Umri usiozidi miaka 29 yaani rika sawa
2. Na usipungue miaka 21
Kiufupi sitapenda mtoto,
3. Sichagui dini wala kabila, wala sura wala cha nini, nahitaji yeyeto ambaye yuko serious na tayari.
Mimi Ni mkiristo mkatoliki, natokea mkoa moja wapo wa kaskazini,
Mimi ni mrefu, maji ya kunde na sio mnene.
Napenda zaidi aniunge mkono project yangu siyo kunifinance hata kimawazo au ushauri na kushirikiana kikazi kama atapenda.
iyo project inahusu masuala ya food.
Ahsante.... PM iko wazi.
nahitaji mwanamke tuwe kwenye unyumba baadaye, sasa iwe ni kuishi urafiki tu.
Nina project nafanya ningependa anijoin kama yuko na muda au hana lakufanya kwa sasa, au kama atavutiwa nayo.
Sifa zake ziwe
1. Umri usiozidi miaka 29 yaani rika sawa
2. Na usipungue miaka 21
Kiufupi sitapenda mtoto,
3. Sichagui dini wala kabila, wala sura wala cha nini, nahitaji yeyeto ambaye yuko serious na tayari.
Mimi Ni mkiristo mkatoliki, natokea mkoa moja wapo wa kaskazini,
Mimi ni mrefu, maji ya kunde na sio mnene.
Napenda zaidi aniunge mkono project yangu siyo kunifinance hata kimawazo au ushauri na kushirikiana kikazi kama atapenda.
iyo project inahusu masuala ya food.
Ahsante.... PM iko wazi.