n00b JF-Expert Member Apr 10, 2008 1,006 2,667 Jan 5, 2019 #1 Mtu huyu amepoteza nyaraka muhimu na zimeokotwa na raia mwema. Kama kuna anayemfahamu, amwambie awasiliane nami. Anaweza kutuma email kwa uongozi wa JF ili wanitafute (support @ jamiiforums. com )
Mtu huyu amepoteza nyaraka muhimu na zimeokotwa na raia mwema. Kama kuna anayemfahamu, amwambie awasiliane nami. Anaweza kutuma email kwa uongozi wa JF ili wanitafute (support @ jamiiforums. com )
Makosa JF-Expert Member Apr 23, 2015 1,183 2,612 Jan 5, 2019 #2 "Anaweza kutuma email kwa uongozi wa Jamiiforums ili wakutafute" Sio yeye/wao wakutafute Umetumia akili kubwa sana.
"Anaweza kutuma email kwa uongozi wa Jamiiforums ili wakutafute" Sio yeye/wao wakutafute Umetumia akili kubwa sana.
n00b JF-Expert Member Apr 10, 2008 1,006 2,667 Jan 5, 2019 Thread starter #4 Makosa said: "Anaweza kutuma email kwa uongozi wa Jamiiforums ili wakutafute" Sio yeye/wao wakutafute Umetumia akili kubwa sana. Click to expand... Mambo ya kutafutana hapana. JF watanitumia PM, nitamuunganisha na msamaria aliyeokota nyaraka hizi (maana sio mimi)
Makosa said: "Anaweza kutuma email kwa uongozi wa Jamiiforums ili wakutafute" Sio yeye/wao wakutafute Umetumia akili kubwa sana. Click to expand... Mambo ya kutafutana hapana. JF watanitumia PM, nitamuunganisha na msamaria aliyeokota nyaraka hizi (maana sio mimi)