KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Tafadhali sana naombeni msaada wenu wa jinsi gani au nifanyeje
namtafuta dada yangu anaitwa
Ghati Josephati Magoiga,sijawahi onana nae
tuliambiwa na baba kuwa tuna
dada yetu anaishi Nchini Uganda alizaliwa
mnamo mwaka 1982 nyumbani kwao
alipozaliwa panaitwa Bujiku.Sikuweza kusikia
mimi ila niliambiwa mwaka 2007
aliwahi kutoa taarifa redio free africa kuwa
anamtafuta baba yake ambaye ambaye anaitwa Josephat Magoiga alikuwa mwanajeshi toka Tanzania alishiriki vita ya kumng'oa Iddi Amini ambaye
hajawahi kumuona maana aliondoka
Uganda tokea kipindi cha vita vya Kagera mama mama
yake aliachwa akiwa na
ujauzito wake na alipozaliwa tu mwaka 1982
mama yake alimtumia baba barua
ya kumtaka ampatie jina la kumuita mtoto huyo
aliyezaliwa na baba aliijibu
barua kwa kumtumia jina kuwa aitwe Ghati
Josephati tokea hapo walipotezana mawasiliano hadi hivi sasa,tokea alipotoa taarifa ile mwaka 2007 kupitia RFA kuwa anamtafuta baba yake.
alijitambulisha kuwa anafanya kazi kwenye
ubalozi wa Sweden nchini Uganda.Kwa bahati mbaya mimi binafsi sikuipata taarifa hiyo redioni ila niliambiwa na baba ambaye nae aliambiwa kuwa anatafutwa.Sasa sijui hata nianzie wapi naombeni mwongozo wenu.
namtafuta dada yangu anaitwa
Ghati Josephati Magoiga,sijawahi onana nae
tuliambiwa na baba kuwa tuna
dada yetu anaishi Nchini Uganda alizaliwa
mnamo mwaka 1982 nyumbani kwao
alipozaliwa panaitwa Bujiku.Sikuweza kusikia
mimi ila niliambiwa mwaka 2007
aliwahi kutoa taarifa redio free africa kuwa
anamtafuta baba yake ambaye ambaye anaitwa Josephat Magoiga alikuwa mwanajeshi toka Tanzania alishiriki vita ya kumng'oa Iddi Amini ambaye
hajawahi kumuona maana aliondoka
Uganda tokea kipindi cha vita vya Kagera mama mama
yake aliachwa akiwa na
ujauzito wake na alipozaliwa tu mwaka 1982
mama yake alimtumia baba barua
ya kumtaka ampatie jina la kumuita mtoto huyo
aliyezaliwa na baba aliijibu
barua kwa kumtumia jina kuwa aitwe Ghati
Josephati tokea hapo walipotezana mawasiliano hadi hivi sasa,tokea alipotoa taarifa ile mwaka 2007 kupitia RFA kuwa anamtafuta baba yake.
alijitambulisha kuwa anafanya kazi kwenye
ubalozi wa Sweden nchini Uganda.Kwa bahati mbaya mimi binafsi sikuipata taarifa hiyo redioni ila niliambiwa na baba ambaye nae aliambiwa kuwa anatafutwa.Sasa sijui hata nianzie wapi naombeni mwongozo wenu.